Uchaguzi 2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni


CC: Elitwege
 
Tulia usome kwa umakini uelewe si kukimbilia kujibu
Polepole anakagua miradi kama nani?? Kwani CCM ndio inatoa pesa za miradi hadi atishie kwamba zitto harudi 2020??

Angekuwa waziri au mbunge wa CCM well and good ila sio mwanasiasa wa CCM ambaye hayupo serikalini alafu anatoa maagizo tu kana kwamba mradi umetoka kwa hela za chama chake while ni pesa za walipakodi hata wasio na vyama

Alafu kituko madiwani wa Upinzani wanakatazwa kukagua miradi waliopitisha kwenye halmashauri zao ila CCM tena mtu asiyekiongozi wa serikali anakagua na kutoa maagizo

Polepole ajifunze kwa nape, alijikomba zaidi yake ila leo hii kapotezewa.... Haya jua linazama hivyo
 
......miradi inayotekelezwa na madiwani wa kata zilizo chini ya ACT.....
Hao madiwani wanatekeleza ilani ya ccm maana ndiyo iliyoshinda kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Ilani za vyama vingine zilishindwa, hivyo haviwezi na hairuhusiwi kisheria kutekelezwa sehemu ye yote ya nchi. Hii ni kwa mjibu wa katiba na sheria zetu. Ilani ya ccm inatekelezwa nchi nzima. Jimbo la ushindi la ccm ni nchi nzima na ndiyo maana Polepole ana legacy ya kutembea nchi nzima na kukutana na wananchi popote pale nchini kuhamasisha, kuelimisha na kusimamia utekelezaji wa ilani hiyo ya nchi.
 
Mh Rais mwenyewe alitoa mwisho Iwe mwezi wa 11 mwaka jana(2017)
Yy nani Mr Buyer Slow slow!??[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Hawa jamaa kila mtu anaongea lake kutegemeana na ameamkaje. Halafu wanafanya kazi kwa style ya Mungu wakati wa uumbaji ambaye alikuwa anaamrisha kwamba "Na iwe bahari"- inakuwa, "Na iwe nchi"-inakuwa!

Kuna watu walitaka kumfikia Mungu mbinguni kwa kujenga Mnara wa babeli. Ikabidi Mungu awachanganye wasielewane katika lugha, na hatimaye hawakufanikisha lengo lao. Kwa hawa jamaa, nawaachia msemo mmoja kwamba 'A dying Horse has strong kicks'!

Wakipata muda watatafakari!
 
Embu usitufanye wote hatujui sheria... Kama ilani ikipitishwa si inazaa mpango wa taifa wa miaka 5 ambao unakuwa hauna CHAMA ila wa WATANZANIA wote na ilani ya CCM inageuka illani ya KITAIFA sasa hayo ya kusema ilani ya CCM ndio kisheria inatakiwa kutekelezwa umeutoa wapi?? Mara 10 ungesema mpango wa taifa hapo sawa ila ilani ya CCM inaukomo hapo

Pia unaposema kila mradi ni wa ilani ya CCM ina maana kwa mfano Meya jacob alikuta wamama wanalialia maisha magumu wote tulishuhudia alitoa mikopo kma meya wa wa ubungo kwa vikundi kadhaa vya wanawake je hapo imetekelezwa ilani ya CCM au ina maana gani sasa upinzani kuongoza halmashauri kma hawawezi tekeleza sera zao??? Unapotosha kwa faida ya nani

Jimbo la ushindi la CCM ni nchi nzima kasema nani?? CCM inashika serikali tu sasa jimbo ni nchi nzima una maana polepole anaweza kwenda mahakama kuu kutoa maagizo na yakatekelezwa kisheria ?? Embu acheni kurasimisha uhuni wenu CCM inaposhinda inapewa mamlaka juu ya serikali hivyo mambo yote ya utekelezaji wa sera unafanywa na serikali maana ukishashika utawala uchama unakufa hapo ndio maana watendaji wa serikali huwa hawashauriwi kuwa na mrengo wa kisiasa!!! Sasa toka lini mwanaCCM asiye na cheo serikalini akatoa maagizo kwa vyombo vya serikali na vinatiii?? Nipe kifungu hapa kwenye sheria yoyote inayokubaliana na upuuzi huu

Kama polepole anataka apewe wizara serikalini sio katibu mwenezi kugeuka kiongozi wa serikali huu ni upuuzi hata sijui hiyo PhD yako umeipataje kama unasupport mambo ya kihuni namna hii
 
Pole pole nae ajue ukatibu uenezi wake una mwisho wake ajue cheo ni dhamana.
 
Aah kumbe Chakubanga!atajibiwa na Bulicheka
 
Ukiona mwanaume mtu mzima lakini ngozi yake ya usoni imegoma kuotesha ndevu basi ujue ana kasoro kubwa sana kichwani haswa kwenye upande wa fikra za kiume. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Pole pole hana ndevu.
 
Kwani ubunge ni ajira?!!!
 
Well said mkuu
 
Wabunge wenye midomo lazima kura zao ziporwe wanauhakika 100% watazipora na hatarudi kama siyo kuzipora wanajuaje maamuzi ya wapiga kura
 
Wabunge wenye midomo lazima kura zao ziporwe wanauhakika 100% watazipora na hatarudi kama siyo kuzipora wanajuaje maamuzi ya wapiga kura
Anapiga kampeni huyo, double standard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…