Polisi anafanya kazi mbali na inapoishi familia yake. Askari Mgambo anatumwa kukamata watu wa mtaani kwake. Hii sio sawa hata kidogo....

Polisi anafanya kazi mbali na inapoishi familia yake. Askari Mgambo anatumwa kukamata watu wa mtaani kwake. Hii sio sawa hata kidogo....

Alex Muuza Maembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2024
Posts
655
Reaction score
1,413
Good Morning my dear brothers and sisters out there.

MGAMBO WANAOFANYA KAZI SAMBAMBA NA POLISI NJE YA MIJI MIKUBWA (DAR, MWANZA, ARUSHA, MBEYA)

(1) Mgambo anakamata watu anaoishi nao mtaa mmoja. Polisi anakamata watu nje ya eneo analoishi yeye pamoja na familia yake. Hii ni nini kama sio kumtafutia mtu uhasama na watu wa jamii anamoishi?? Vp kama watoto wake (Mgambo) wakidhuriwa??

(2) Mgambo anafanya kazi miaka zaidi ya 5 bila malipo, nafasi za kazi ya Polisi zikitangazwa wanachukuliwa vijana wapya lakini mgambo hawapewi hizo fursa.

(3) Polisi akizeeka au kustaafu, anapewa kiinua mgongo pamoja na pension ya kila mwisho wa mwezi (hata kama ni ndogo), lakini mgambo hapewi chochote kitu ilhali nguvu zinakuwa zimemuisha, misuli imechoka na shughuli ya kukamata vijana wavuta bangi hana tena.

POLISI KUWATUMIA ASKARI MGAMBO KATIKA KAZI ZAO NDANI YA ENEO WANAMOISHI, NI KUWATAFUTIA UHASAMA NA JAMII WALIOMO.

NB: Polisi Tunduma mlinidhalilisha sana mbele ya kadamnasi mwaka 2014/2015. Ipo siku tu Mungu atawalipeni.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe
======
 
Kuna mgambo kama wawili walikuwa wanafanya kazi zaidi ya polis na walikuwa wanaogopeka balaa,ila cha kusikitisha wameshatangulia mbele za haki mapema tu
Hata Polisi pia wapo ambao hutangulia mbele za haki kabla ya kuzeeka. Issues ni kuwa, vp kama wote watazeeka?? Je, watakuwa na uzee unaofanana financially??..
 
Na wanavyofanya kazi kwa sifa sasa wakitumwa kukamata watu utasema analipwa mshahara mkubwa sana.
Yes. I think this has something to do with psychology. It's as if they're trying to impress their bosses (Police OCS) plus hawana malipo, inawapelekea kuwa na Inferiority Complex kwa kiwango fulani hivi..
 
Wewe unataka engineer alingane maslahi na saidia fundi

Kuna skilled na Un skilled workers
Polisi amefundishwa ujuzi na sheria

Mambo wao wamejifunza mchaka mchaka
Hizo hoja zangu number 1 na number 2, una lipi la kusema mkuu??..
 
Wewe unataka engineer alingane maslahi na saidia fundi

Kuna skilled na Un skilled workers
Polisi amefundishwa ujuzi na sheria

Mambo wao wamejifunza mchaka mchaka
Mkuu, hata saidia fundi baadae wanakuja kuwa mafundi kamili. Kwanini nafasi mpya za Upolisi hawapewi Mgambo wanaofanya kazi bila malipo??..
 
Mkuu, hata saidia fundi baadae wanakuja kuwa mafundi kamili. Kwanini nafasi mpya za Upolisi hawapewi Mgambo wanaofanya kazi bila malipo??..
Kila mtu akubali nafasi yake
Ipo siku utalalamika ati unataka Kulala na mama kama anavolala nae baba Kwa kuwa wote ni wanaume

Mambo amepewa mafunzo ya mchaka mchaka tu
Hajui kutumia silaha, hajui sheria, y
Tuwaachie mambo wakamatwe machinga
 
Kila mtu akubali nafasi yake
Ipo siku utalalamika ati unataka Kulala na mama kama anavolala nae baba Kwa kuwa wote ni wanaume

Mambo amepewa mafunzo ya mchaka mchaka tu
Hajui kutumia silaha, hajui sheria, y
Tuwaachie mambo wakamatwe machinga
Hizo hoja zangu number 1 na number 2, una lipi la kusema mkuu??..
 
Kwaiyo unataka mambo aliyezaliwa Katavi afanye kazi Ruangwa 😀

Mambo ni jeshi la akiba
Hao wanatumika pale wanapohitajika
Yaani ni akiba labda askari wakiwa na majukumu mengine, ndo unawatumia mgambo
Kulipwa wataliwa posho za siku hiyo
 
Back
Top Bottom