Nakuunga mkono kamanda.Swali linalonisumbua ni kwa nini hili tukio litokee wakati ripoti inawasilishwa.Na kwa sasa upepo umebadilika wananchi badala ya kutafakari hotuba ya kizalendo ya Mh.Rais,jamaa wamecheza kubadilisha upepo huu.Ki ukweli ukimsikiliza Rais hawa jamaa wanaochimba madini jina lao limeshachafuka.
Pili,si amini dola inaweza kufanya upuuzi huu,dola lina njia zote tunazozijua na tuzisizojua kumalizana na Lisu,sema kazi aliyojipa ya kuwatetea hawa jamaa ambao hawana permanent friend wala permanent enemy ndio kama hivyo,na prof mluma anatakiwa ulinzi wa kutosha.Mwenye akili amenielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
nyie ndo mtupe taarifa kwani ndo walinzi wa raia na mali zao.tumechoka na kila mara watu wasiojulikana.hao watu wasiojulikana wanapatikana hapa TZ tuHABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
Kwa sasa wamepata taarifa kuwa gari iliyoonekana ni gari nyeupe aina ya Nissan.
Naye mkuu wa mkoa wa Dodoma amesema polisi wameshaanza kufanya upelelezi kuhusu wahusika na kusema watu waendelee kusubiri taarifa kutoka kwenye jeshi hilo
Amesema hawatapenda kuona mikusanyiko sehemu yoyote ya Dodoma mjini kwa sababu jeshi la polisi bado linafuatilia asili ya tukio lenyewe na mikusanyiko ya watu inaweza kutumika vibaya.
Pia wataendelea kuwafaamisha raia kwenye kila hatua watakayofikia
[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
Huwezi kuthink nje ya box kabla kwanza hujathink ndani ya box.Pengine mh Tundu Lisu amepigwa risasi na watuhumiwa wa Makinikia (dhahabu, almasi na Tanzanite) kwa lengo la kutugawa na ku divert mjadara kuhusu wizi wa madini.. Sitaki kuamini kama serikali ama watanzania wanaweza kufika huko.Just thinking outside the box
Natamani kuona matokeo ya kipimo cha akili yako ya kupambanua mambo.Labda kwa kukusaidia ni kwamba,Hata Mrema alikuwa kama Lisu,hata Lipumba alkuwa kama lisu kwa awamu yake taja na wengine unaowakumbuka,ni bahati mbaya tu kwa kamanda huyu mi namuita Brigedia but kazi ya kizalendo kaifanya.Nenda ukapimwe Akili wewe.
Kila mtanzania mwenye Akili timamu na mfuatiliaji wa mambo anajua hii kitu 100% ni matokeo ya msimamo wa Lissu dhidi ya ujinga wa watawala wa chama cha Kijani.
Nani mwingine ana chuki binafsi na Lissu?
Unazungumzia kupewa ulinzi kwa Profesa Mruma, yule profesa mbumbumbu anayekiri kuwa alisaini mkataba bila kuusoma. Nani ana mpango wa kwenda kumdhuru?
Makonda we piga Kazi...Claouds Media walivamiwa na kila kitu kilikuwa wazi Mkuu ,wavamizi walifanywaje vile !!!..
Acha uongo, mrema na lipumba hawakuwahi kuwa wanasheria kama Lisu..Natamani kuona matokeo ya kipimo cha akili yako ya kupambanua mambo.Labda kwa kukusaidia ni kwamba,Hata Mrema alikuwa kama Lisu,hata Lipumba alkuwa kama lisu kwa awamu yake taja na wengine unaowakumbuka,ni bahati mbaya tu kwa kamanda huyu mi namuita Brigedia but kazi ya kizalendo kaifanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala si kuwa mwanasheria swala ni kwamba kazi umeitimiza basi.Hizo strategy za uanasheria ni slaa tu kama slaa zingine kwenye vita za kiuchumi zenye kupiganwa kwa akili si mitutu.Acha uongo, mrema na lipumbavu hawakuwahi kuwa wanasheria kama Lisu..
Sent using Jamii Forums mobile app