Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Kuna update moja hapa wanajamvi

Inasemekana TUNDU LISSU alikuwa katika gari na driver wake je driver wake ana hali gani?

Na kama yuko salama analipi la kuliambia jeshi la polisi kuhusu tukio hili?



post using my macbook air using jamiiforums app
 
Kuna update moja hapa wanajamvi

Inasemekana TUNDU LISSU alikuwa katika gari na driver wake je driver wake ana hali gani?

Na kama yuko salama analipi la kuliambia jeshi la polisi kuhusu tukio hili?



post using my macbook air using jamiiforums app

risasi zimepigwa upande alipo kuwa amekaa lisu.. unataka dereva akusadie nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MWISHO WA SIKU UTASIKIA WAHUSIKA WALIKUWA NI MAJAMBAZI... Tujifariji tu kwa kusema hakuna kiumbe kitakachobaki hai milele sote tutakufa
 
Mimi kama Mtanzania naungana na wenzangu kumtakia afya njema T.L. kufuatia shambulio dhidi yake mijini Dodoma.
Leo tumeambiwa wazi na Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli, wakati akikabidhiwa ripoti za kamati mbili za kuchunguza madini ya Almas na Tanzanite kuwa, majadiliano kati ya Serikali na Barrick ni yanaendelea na ni magumu na kwamba Barrick walilazimika kuongeza timu ya pili kwa ajili ya majadiliano licha ya sisi kubakia na Wajumbe walewale.
Sasa, je mnadhani hao jamaa walikuja kwa ajili ya mazungumzo tu ama mikakati ya kumkatisha tamaa Rais ili achukiwe na wananchi wake? Mimi nina uhakika wa madhaka kuwa, Barrick na Acacia watakuwa na mkono wao dhidi ya jaribio la kumuua Tundu Lissu. Wanajua wakimuua Lissu, kila mtu atainyooshea kidole Serikali.
Tusijidanganye, Dola ina uwezo wa kumuua tena kwa urahisi sana bila kutumia njia zilizotumika. Hiyo njia wabaya wa Serikali walitaka kuipublicise kipindi cha Bunge. Serikali isingesubiri wakati wa Bunge never. Ninaamini Barrick na Acacia wana mkono wao.
Na kwa kuwa kuna tuhuma pia za Lissu kushirikiana nao inawezekana majamaa yamemtumia na yanataka kumgeuka. Kama ni kweli, basi Lissu bado ana hatari ya kuvamiwa tena ili kummmaliza ili asitoe siri wakati atakapopona (hapo hata akijua ni wao hawezi kutoa Siri kwa kuwa itammaliza mwenyewe kisiasa).
 
Jivalishe uhusika kama Mwanafamilia wa Lissu utajisikiaje,?
 
Mwezi ulopita kuna kijana aliomba ruhusa amuue lissu, Je haiwezekani kijana huyu akawa amehusika ama moja kwa moja ama kwa kutaka kuonyesha kuna wananchi hawampendi lissu na wapo tayari kumuua ilimradi kupoteza watu maboya siku itakapotokea.



Kitu cha Pili ni muda wa tukio, inaonekana walofanya tukio ni watu flani makini hasa kuamua kugonganisha tarehe ya ripoti ya makinikia na kumjeruhi lissu.
Nadhani vyombo vya uchunguzi vingeanzia hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama nimemuona. Taarifa siwezi peleka polisi. Mara 10 nikae kimya au niwafahamishe uongozi wa CDM

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Aaaa sisi wote ni marehemu watarajiwa kwa hiyo tukae tu kwenye foleni tusubiri zamu usimuhaishe mwenzio bans God yupo atakuhoji.
 
Back
Top Bottom