Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Tuache usanii jamani. Hivi kufuatilia mmiliki wa T460 ACQ premio siyo shughuli? Hivi kumhoji Makonda aliyeamrisha watekaji wa Roma wamuachie hamfahamu mtekaji na muuaji?
 
mkuu naweza nisifaham sababu hasa kwanini Rais aliiomba bunge lichunguze ila argument yangu ni kuhusu COMPENTENCE ya TISS ambayo unataka kuiexaggerate sana wakati malalamiko yako humu kila kukicha hta bungeni TISS wamelalamikiwa sana kwa kukosa ufanisi

kwa mfano mbona hushangai inakuaje siri za serikali zinavuja hasa awamu iliopita kma wana hizo basics walishindwaje kuzuia leakeges???

kma wana basics ilikuwaje walimteka ulimboka mpka walifkiri wamemuua kumbe lah ina maana hao TISS hawajui mtu akifa anakuaje na akiwa hai anakuaje???
mbona mpka message zilionekana za ighondu kupitia mtandao mmoja wa simu?? hakujua kasajili line na kwamba message zinaweza kuwa intercepted? na hyu alikuwa top kumbuka sembuse hawa wanaotumwa field???

kma hao TISS walimtegeshea vinasa sauti dr slaa na licha ya kwamba hana background ya jeshini ila bado aliweza kujua anarekodiwa na akakuta vinasa sauti kwenye mashuka juu kabisa ambapo hata hausigeli anaweza kuona je hyo haikuwa "amateurish"???

TISS ni wa miaka hyo ya 70 sio hawa wa cku hizi ambao tupo nao mitaani hku wanajisifia kuwa huko na wanaropoka wazi siri za wakubwa so i can conclude kuwa TISS ni amateurs rais aifumue upya aweke watu competent ili tuhisi tupo salama sio ssa ambapo makinikia yanaibwa hawaoni au almasi inapita bila kupimwa eti hawajui???

suprising!!!
 
Lisu hajashambuliwa August 6 bali ni September
 
Mahita:Tumemshauri IGP Sirro apambane na wanasiasa
 
Nakubaliana nawe kwa kitu kimoja NAO waende na nyakati.
 
Tamba unavyopenda lakini mambo yakigeuka uwe unatembea na KY jelly kwani itakupunguzia michibuko. Yai lazima tuvunjie kwenye shimo la tope hapo nyuma.
Mtaendelea KUKALIA GOGO mpaka mwisho dhaifu mkubwa thats why hauna MARINDA yote ANYAU wajanja wameshayatatua...... steam za MAJANI YA ARUSHA zinakudanganya...
 
NAKUONA MFUASI WA PEPO...
KIKUNDI CHA WAHUNI KUTOKA KANDA YA ZIWA..
KALISALITI PEPO..
LILISHINDWA KUJENGA UPENDO HATA KWENYE NDOA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mapepo yanajulikana...KUNA wasaliti wa asili toka enzi na enzi lakini mbinu zenu zinagonga mwamba....MAJANI YA ARUSHA na MIRUNGI ndiyo inayoongoza hisia na akili zenu....MUNGU ATAWAKOA SIKU MOJA....
 
LISU ni MSALITI
msaliti??? duh sasa chenge au yona aliyesaini mikataba hii mibovu ama kina simbachawene walioingiza nchi hasara kwa tamaa za matumbo yao tuwaieteje if at all lisu ni msaliti????
TUNDU ni BONGE la MSALITI..... He will always being remembered kwa KUFANIKISHA KUZUIWA kwa BOMBADIER ili kukwamisha MAENDELEO YA SHIRIKA LA NDEGE la ATCL.....
 
Basi kama hawezi kupata taarifa kwakutumia askari waliopelekwa hadi nje kijifunza intelejensia yapaswa kujiudhuru ukuu wa upelelezi mkoa au aombe kwa IGP amuongezee kikosi kazi kutoka central waje wafanye walichofundishwa siyo kusema mwenyetaarifa,kwani mipango ya uharifu kama hiyo huwa nisiri kwa wahusika!sasa iweje waombe taarifa kwa raia??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LISU ni MSALITI

TUNDU ni BONGE la MSALITI..... He will always being remembered kwa KUFANIKISHA KUZUIWA kwa BOMBADIER ili kukwamisha MAENDELEO YA SHIRIKA LA NDEGE la ATCL.....
hahahahaha mkuu kma english hufaham si ukae kimya kma anavyofanya magu!! kwani ni lazma uongee english ili uonekane msomi??? kma english yenyewe ndio sifuri sembuse utamuelewa lisu??

nkirudi kwenye hoja ya msingi kwamba lisu ni msaliti labda niulize.... lisu kasaliti nni na wapi?? hyo ya bombardier alisaliti ama alituambia watanzania ukweli wa mambo yanayoendelea!!! kwani lisu ana mamlak gani kisheria kuzuia ndege???

nyie mtatafuta pa kumshikia lisu hamtopata na kumuua mmeshindwa ndio maana inawauma....shame on u
 
Shetani hajawai mshinda Mungu hata siku moja... Saivi nipo kwenye bombardier q## nakatiza mitaa ya Lumumba nimeishiwa bando[emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna aliyeripoti polisi juu ya hayo umebwabwaja humu!?
 
Najiuliza nakosa jibu je? Serikali haiwajui waliomshambulia TUNDU LISU?
Ikiwa haiwajui je? Walitumwa na nani? Na kwa masilahi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…