Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Huo utafiti uliuanzia wapi? Au ulianzia pale alipopigiwa risasi?
 
Sina hulka ya kutokukuamini Mzee Tupatupa, lakini hili nina mashaka nalo kidogo unless udokeze kidogo kuwa yule jamaa yetu kutoka Bandari salama alilala wapi ili niunganishe na habari nisikiazo na kama zitalandana basi nitajua kuwa kweli uchunguzi wako ulikuwa makini
 
Mimi sioni sababu ya kuhangaika kumtafuta muhusika wakati ushahidi wa kimazingira unainesha wazi nani muhusika! Hata mtoto wa kindergaten anamjua!
 
Umeanza kujidhalilisha lini km hukutuwekea hapa basi huouchunguzi wako niwa WASIOJULIKANA
 
"Bunduki za nini jamani kwenye kujenga hoja?"
Kwa mstari huo,utafiti wako umepata jibu kuwa,walioshindwa hoja ndio walotaka kumuua Lissu!! YAWEZEKANA KABISA
 
Pia tunaomba uende Myanmar ukafanye utafiti ya juu kinachojiri pale kati ya serikali ya warohingya mrejesho utauleta humuhumu
 
Tutamptibu popote pale wakiomba!! Lazima akatibiwe Muhimbili!! Wabunge wamechanga pesa za Matibabu!! Lissu ana haki kama Mbunge kutibiwa!!!
 
Mkuu acha hadithi za kitoto, ati humu kwenye chungu kuna nyama ya kuku, lakini msifunue mfuniko mpaka kesho!
 
 
 
Wasalam, natafakari kwa kina sipati jibu kichwa kinauma. Nafikiri wakati umefika sasa serikali yetu sikivu ya ccm na jeshi la police watuambie ni kinanani walitaka kumuua tundu lisu kama wamekwama waunde tume ya kimahakama ichunguze swala hili, au waruhusu vyombo huru vya uchunguzi kutoka nje ya nchi yetu. Ova.
 
Serekali inawatu wengi,pamoja na mimi pia ni serekali,lakini wauaji ni wawili tu kutoka serekalini.
Labda tumuachie tu mungu ila kusemakua kuna serekali itakuja isimame kidedea kukwambia muuaji utasubiri sana.
 
Hakuna haja ya kutuelezaa kusoma ushindwe hadi kusoma picha tushindwee wajameni aghhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…