Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha hadithi za kitoto, ati humu kwenye chungu kuna nyama ya kuku, lakini msifunue mfuniko mpaka kesho!Kwa majuma kadhaa nilikuwa hapa Dodoma kwa kazi maalum lakini binafsi. Nilikuja hapa kupata dondoo kuhusu nini hasa kilitokea kabla, wakati na baada ya shambulio la risasi la Mbunge Tundu Lissu. Nimeyapata ya kuyapata na kusikia ya kuyasikia.
Niliyoyapata nitayakabidhi Polisi kwa namna nitakayoona inafaa kuitikia wito wa kuwasilisha 'taarifa' yoyote. Lakini, nitayahifadhi kwa kumbukumbu zangu na, ikiwezekana, kumkabidhi Mhusika atakaporejea.
Sikupata mengi lakini nimayapata ya muhimu. Nitayaweka kwa vyombo husika ili viyafanyie kazi pamoja na taarifa, nyaraka na kumbukumbu nyingine. Polisi watatenda hadi wananchi watapenda. Polisi wako imara kila idara. Sasa, narejea Kibiti Pwani.
Bunduki za nini tena jamani kwenye kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Kwa majuma kadhaa nilikuwa hapa Dodoma kwa kazi maalum lakini binafsi. Nilikuja hapa kupata dondoo kuhusu nini hasa kilitokea kabla, wakati na baada ya shambulio la risasi la Mbunge Tundu Lissu. Nimeyapata ya kuyapata na kusikia ya kuyasikia.
Niliyoyapata nitayakabidhi Polisi kwa namna nitakayoona inafaa kuitikia wito wa kuwasilisha 'taarifa' yoyote. Lakini, nitayahifadhi kwa kumbukumbu zangu na, ikiwezekana, kumkabidhi Mhusika atakaporejea.
Sikupata mengi lakini nimayapata ya muhimu. Nitayaweka kwa vyombo husika ili viyafanyie kazi pamoja na taarifa, nyaraka na kumbukumbu nyingine. Polisi watatenda hadi wananchi watapenda. Polisi wako imara kila idara. Sasa, narejea Kibiti Pwani.
Bunduki za nini tena jamani kwenye kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
HABARI MPYA: Kamanda wa Polisi Dodoma amesema yeyote mwenye taarifa kuhusu wahusika waliompiga risasi Tundu Lissu waiwasilishe polisi.
Kwa sasa wamepata taarifa kuwa gari iliyoonekana ni gari nyeupe aina ya Nissan.
Naye mkuu wa mkoa wa Dodoma amesema polisi wameshaanza kufanya upelelezi kuhusu wahusika na kusema watu waendelee kusubiri taarifa kutoka kwenye jeshi hilo
Amesema hawatapenda kuona mikusanyiko sehemu yoyote ya Dodoma mjini kwa sababu jeshi la polisi bado linafuatilia asili ya tukio lenyewe na mikusanyiko ya watu inaweza kutumika vibaya.
Pia wataendelea kuwafaamisha raia kwenye kila hatua watakayofikia
Jamani muogopeni Mungu.Kumbe uchunguzi bado haujaanza pamoja na vyanzo vya kuanzia vikiwa wazi hivyo.Mbona tunachezeana akili hivi?si vizuri kuichukia nchi yako lkn,hawa watu watulazimisha kutenda hiyo dhambi!Na kibaya zaidi hatujui nchi nyingine ya kwenda kuishi!
Yaani inakera mno!kibaya zaidi sasa imefika mahali unaoneshwa ubabe waziwazi!
![]()
[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
kuichukia serikali ni jambo lisiloepukika mpaka 2020