Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Katika andiko langu la awali nilizungumzia nadharia ya fremu (framing theory) na jinsi inavyoweza kutusaidia kuwajua "WATU WASIOJULIKANA" katika shambulizi la risasi dhidi ya Mbunge Lissu.

Nilisema ukitaka kujua hisia za mtu, mrengo wake na anachowaza basi soma maandishi yake.

Moja ya swali kuu leo ambalo nadharia ya fremu inatusaidia ni kujua ni nani waliohusika na shambulizi dhidi ya Lissu.

Uchambuzi, michango mingi na hata maandishi katika magazeti mengi makubwa nchini, yakitazamwa katika nadharia ya fremu, vinaibua kundi jipya linaloweza kutusaidia katika sakata hili la Lissu ambalo nitaliita tu la "WATU WASIOTAKA KUJULIKANA."

Ukitaka kuwajua "WATU WASIOTAKA KUJULIKANA" na uhusika wao ktk kumdhuru Lissu soma post za mwanzo tu za vijana wa Chadema waliorusha picha zinazodaiwa kuwa za Lissu na nyingine Mbowe akiwa hospitali.Picha zile 2 alipiga nani?Kwa nini mpigani alipiga picha 2 tu?Au kama alipiga nyingi kwa nini alisambaza picha 2 tu? Hapa kuna "WATU WASIOTAKA KUJULIKANA."

Ukisoma magazeti ya Tanzania Daima na MwanaHalisi ya leo utakutana na simulizi nyingi baadhi zikimkariri hata Lissu akiwa hoi ICU eti akieleza kuwajua "WATU WASIOJULIKANA."

Ukisoma magazeti hayo utakubaliana nami kuwa kwanza kuna "WATU WASIOTAKA KUJULIKANA" wanaomsemea Lissu kila siku.

Lakini pia ukitumia nadharia ya fremu utabaini kuwa vyombo hivi vinavyojinasibu na uchambuzi na uchunguzi ghafla kwa sasa vinaonekana kupewa taarifa za kuokoteza na "WATU WASIOTAKA KUJULIKANA" ambao wanaonekana wako Nairobi ama Lissu akiwa anawajua au hawajui.

Ni watu hawa "WASIOTAKA KUJULIKANA" ambao wanapenyeza habari nyingi kuhusu Lissu na bahati mbaya au nzuri nadharia ya fremu inatuonesha dhahiri walikuwepo Dodoma Lissu akiwa hoi anaugulia maumivu ya risasi mwilini na sasa wako naye Nairobi akiuguza majeraha ya risasi zilizotolewa.

Je nadharia ya fremu inatuambia nini zaidi kuhusu watu hawa "WASIOTAKA KUJULIKANA" waliotufanya tuhangaike na "WATU WASIOJULIKANA" ktk sakata hili la Lissu?

Endelea kufuatana nami hatua kwa hatua na nadharia ya fremu.

Episode ijayo tutaeleza Je, Kubenea anajua nini kuhusu "WATU WASIOTAKA KUJULIKANA," na kwa nini anachokijua ni muhimu katika sakata hili?

Usikose

Political Jurist, UDOM.
Madhara ya shule za kata Haya,upo UDOM lakini kichwani hakuna kitu ujinga ni mtaji Wa ccm.Na wewe ushakua mtaji Wa chama kizee
 
Huyu jamaa anaidhalilisha sana UDOM,Kila akija kuandika hapa anaandika kinyesi kilichoshindwa kutoka kipitia njia yake hali na kutokea mdomoni.
Toa hiyo alama ya chuo unakitia aibu kwa maandishi yako yenye kipindupindu.
 
Wafuatao ni watu walikuwa waliokuwa wakidaiwa fedha nyingi na Mh tundu lissu ,na walikuwa wakitishia kutokulipa (kurudisha ) fedha hizo. hivyo ni vyema polisi wakawatafuta na kujua walipewa fedha hizo kwa ajiri ya nini na kwa nini walikuwa hawataki kulipa fedha hizo,inawezekana wakawa sehemu ya mpango wa kumuua Mh tundu lissu ili kukwepa deni hilo,Tumuombee Mh Tundu lissu apone na polisi wamuulize kuhusu majina haya na deni hilo ,kwani jambo hili linaweza kutoa mwanga katika upelelezi wao.

RAJAB HAMIS TEMBEL, JORAM MBOGO, ISSA MTONDI Wote wanaishi Kaliua Tabora.
 
Wafuatao ni watu walikuwa waliokuwa wakidaiwa fedha nyingi na Mh tundu lissu ,na walikuwa wakitishia kutokulipa (kurudisha ) fedha hizo. hivyo ni vyema polisi wakawatafuta na kujua walipewa fedha hizo kwa ajiri ya nini na kwa nini walikuwa hawataki kulipa fedha hizo,inawezekana wakawa sehemu ya mpango wa kumuua Mh tundu lissu ili kukwepa deni hilo,Tumuombee Mh Tundu lissu apone na polisi wamuulize kuhusu majina haya na deni hilo ,kwani jambo hili linaweza kutoa mwanga katika upelelezi wao.

RAJAB HAMIS TEMBEL, JORAM MBOGO, ISSA MTONDI Wote wanaishi Kaliua Tabora.
Mnaficha ukweli! Itaeleweka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetafakari sana baada ya kurudia maelezo ya Roma muda mfupi baada ya kuachiwa na watekaji.

Katika wimbo wake alisema iliyomteka haikuwa Noah. Je Ni Nisan Patrol Nyeupe?

Roma ungana na Lisu eleza Uliyohojiwa na watekaji. Yawezekana ni hao hao wauaji walokusudia kumuua Lisu.

Na kama sikosei uliongelea eneo la 'Ununio' ambamo kuna mstaafu mmoja wa jeshi aishiye eneo hilo alishambuliwa kwa risasi.

Roma bado umetuacha njia panda. Angalia wasikuwahi kabla hujafunguka. Hawaaminiki hawa wasiojulikana.

Tunazidi kumuombea Lisu Mungu aliyempa Pumzi baada ya risasi 13 kuingia mwilini mwake, azidi kumpa Uhai Na Uzima.
 
Nimetafakari sana baada ya kurudia maelezo ya Roma muda mfupi baada ya kuachiwa na watekaji.

Katika wimbo wake alisema iliyomteka haikuwa Noah. Je Ni Nisan Patrol Nyeupe?

Roma ungana na Lisu eleza Uliyohojiwa na watekaji. Yawezekana ni hao hao wauaji walokusudia kumuua Lisu.

Na kama sikosei uliongelea eneo la 'Ununio' ambamo kuna mstaafu mmoja wa jeshi aishiye eneo hilo alishambuliwa kwa risasi.

Roma bado umetuacha njia panda. Angalia wasikuwahi kabla hujafunguka. Hawaaminiki hawa wasiojulikana.

Tunazidi kumuombea Lisu Mungu aliyempa Pumzi baada ya risasi 13 kuingia mwilini mwake, azidi kumpa Uhai Na Uzima.
Moderator , Invisible Bridger huu Uzi wangu unahusianaje na huu? Watu tunatafakari kusaidia. Nyie mnaunganisha uzi kwenye Uzi mwingine wenye Post 700+ ili iweje?
 
Chochote tu ingekuwa ni furaha na Mungu alivyo wa ajabu huenda tukasikia chochote kwa hao waliomshambulia Lisu ili kuutoa uhai wake

Alieagiza na waliotumwa au waliokuwa na dhamira mbaya juu yake toka mwanzo

Mungu haangalii cheo cha mtu bali haki na wajibu wa watu wake kwake

Pray for Lisu
 
Hawajulikani[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom