Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Katika hili kuna utata iwapo yule Dereva wa Mh. Tundu Lissu aliona kuna gari linawafuata nyuma then angekimbiza gari kitu cha karibu cha polisi kujisalimisha. Tangu awali Lissu aliwahi kusema kuwa anafuatiliwa na watu asiowafahamu ktk intelejensia yetu ange aomba polisi protection na kuwa kuwa beyond sensitive na intensifier security.
 
Hakuna jambo la kushangaza kama pale viongozi wa chadema na wanachama wao wanaposema vyombo vya dola vinahusika na utekaji , watu wanaopotea pamoja na shambulizi la risasi kwa mh Lissu.

Mwenyekiti wa chadema bw. Freeman Mbowe alisema kuwa wahusika wa matukio hayo ni vyombo vya dola, inachekesha lakini wacha tu niwakumbushe kidogo wapenzi wa chadema na viongozi wenu.

 Mwaka 2012, akiyekuwa mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema ambaye kwasasa ni Mbunge wa Bukoba Mjini bw.

Wilfred Lwakatare ameonekana kwenye moja ya clip akipanga mipango ya kuwateka na kuwaua waliokuwa wahariri wakuu wa magazeti ya mwananchi(bw. Msaki) na Tanzania daima(Absalom Kibanda). Nadhani kila mtu anajua kilichomtokea kibanda

 Matukio ya kupotea kwa Ben Saanane , kutekwa kwa Roma Mkatoliki pamoja na shambulio la risasi kwa Tundu Lissu halina tofauti na kutekwa na kuteswa kwa Absalom Kibanda ambaye alikuwa kiongozi wa Chadema pia mhariri mkuu wa gazeti la chadema (Tanzania Daima)

 Kurugenzi ya ulinzi na usalama ya chadema ambayo kwasasa ipo chini ya BENSON KIGAILA ambaye kwasasa ndio nyota wa michezo ya kuteka, kuoteza, kuua na kuwatisha maisha wabunge na wanachama wa chadema.
 
Hakuna jambo la kushangaza kama pale viongozi wa chadema na wanachama wao wanaposema vyombo vya dola vinahusika na utekaji , watu wanaopotea pamoja na shambulizi la risasi kwa mh Lissu.

Mwenyekiti wa chadema bw. Freeman Mbowe alisema kuwa wahusika wa matukio hayo ni vyombo vya dola, inachekesha lakini wacha tu niwakumbushe kidogo wapenzi wa chadema na viongozi wenu.

 Mwaka 2012, akiyekuwa mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema ambaye kwasasa ni Mbunge wa Bukoba Mjini bw.

Wilfred Lwakatare ameonekana kwenye moja ya clip akipanga mipango ya kuwateka na kuwaua waliokuwa wahariri wakuu wa magazeti ya mwananchi(bw. Msaki) na Tanzania daima(Absalom Kibanda). Nadhani kila mtu anajua kilichomtokea kibanda

 Matukio ya kupotea kwa Ben Saanane , kutekwa kwa Roma Mkatoliki pamoja na shambulio la risasi kwa Tundu Lissu halina tofauti na kutekwa na kuteswa kwa Absalom Kibanda ambaye alikuwa kiongozi wa Chadema pia mhariri mkuu wa gazeti la chadema (Tanzania Daima)

 Kurugenzi ya ulinzi na usalama ya chadema ambayo kwasasa ipo chini ya BENSON KIGAILA ambaye kwasasa ndio nyota wa michezo ya kuteka, kuoteza, kuua na kuwatisha maisha wabunge na wanachama wa chadema.
Akili yako na jina lako havipishani saana kweli naona akili yako ni tenge na haijatengamaa tokea utoke kutibiwa Hospital ya wagonjwa wa akili Mirembe..Kwa ufupi wana 'lumumba' mmechelewa saana watanzania karibia woote tumeshaamka kwa swala hili na hatudanganyiki tena.kilaza mkubwa wewe...ndio maana Rais wenu anachukia vilaza na wala rushwa wa upinzani tu
 
Hakuna jambo la kushangaza kama pale viongozi wa chadema na wanachama wao wanaposema vyombo vya dola vinahusika na utekaji , watu wanaopotea pamoja na shambulizi la risasi kwa mh Lissu.

Mwenyekiti wa chadema bw. Freeman Mbowe alisema kuwa wahusika wa matukio hayo ni vyombo vya dola, inachekesha lakini wacha tu niwakumbushe kidogo wapenzi wa chadema na viongozi wenu.

 Mwaka 2012, akiyekuwa mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema ambaye kwasasa ni Mbunge wa Bukoba Mjini bw.

Wilfred Lwakatare ameonekana kwenye moja ya clip akipanga mipango ya kuwateka na kuwaua waliokuwa wahariri wakuu wa magazeti ya mwananchi(bw. Msaki) na Tanzania daima(Absalom Kibanda). Nadhani kila mtu anajua kilichomtokea kibanda

 Matukio ya kupotea kwa Ben Saanane , kutekwa kwa Roma Mkatoliki pamoja na shambulio la risasi kwa Tundu Lissu halina tofauti na kutekwa na kuteswa kwa Absalom Kibanda ambaye alikuwa kiongozi wa Chadema pia mhariri mkuu wa gazeti la chadema (Tanzania Daima)

 Kurugenzi ya ulinzi na usalama ya chadema ambayo kwasasa ipo chini ya BENSON KIGAILA ambaye kwasasa ndio nyota wa michezo ya kuteka, kuoteza, kuua na kuwatisha maisha wabunge na wanachama wa chadema.
chanzo cha taarifa mkuu, sio vbaya ukatulidhisha na hzo clip unazosema
 
Akili yako na jina lako havipishani saana kweli akili yaka ni tenge nahaijatengamaa tokea utoke kutibiwa Hospital ya wagonjwa..Kwa ufupi wanalumumba mmechelewa saana watanzania karibia woote wamashaamka ..kilaza mkubwa wewe
Unakimbilia wapi Mkuu? Jifunze kuandika vizuri
 
Acha upumbavu wewe gamba hivi hizo buku saba ndio zinakutoa akili
 
Baada ya Mange kuandika IG anaweka kila kitu wazi naona umekuja kuanzisha uzi
 
Umeandika uharo,unaugua kipindupindu cha akili
 
Mange lazima awatoe jasho.Kwenye IG Mange kawataja Paaaa!Thread zinaandaliwa nyingi
 
Back
Top Bottom