Alishamaliza mkuu sasa mwenyekiti wenu ndo yuko self Isolation chato....Hebu nyie wavuta bangi wa Chadema tuacheni kwa sasa tuko busy na mapambano dhidi ya Corona. Hivi Mwenyekiti wenu alishamaliza SELF ISOLATION?
Sikatai mkuu.Mkuu hata hao waliowaita hapo watumia mitandao hiyo hiyo kufikisha ujumbe. Traditional media haziwezi kutangaza huo mkutano. Wajifunze pia kwenda na wakati na kusoma mazingira.
Of course wenyewe wanasema Publicity good or bad is always good, maybe ndio maana wanatafuta headlines kama hizi. Lakini kwa hili wanachemsha, wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni responsible kuliko hawa wanaokutana KarimjeeSikatai mkuu.
Tulishahimiza hili toka zamani mno, lakini CHADEMA hawataki na sielewi sababu zao ni zipi.
Upo uwezekano pia kuwa hii misukosuko wanayopewa viongozi wao, hata ya kuwekwa jela ikawa ni sehemu ya kufikisha taarifa kwa wananchi?
Utanisamehe sana kwa swali kama hilo!.
Huu uzi sidhani kama utadumu!Hivi hichi chama kina matatizo gani? Muda wote ni kutaka kuvutana na kulumbana na serikali na vyombo vya dola bila sababu.
Taifa limetenga siku ya leo ili iwe kwa ajili ya maombi maalumu kwa ajili ya kumuomba Mungu ili taifa liepukwe na hili janga la Covid -19.
Wao kiongozi wao anasema atakuwa na press conference na waandishi wa habari tena muda ule ule ambao maombi ya kitaifa yanafanyika.
Hii inaonyesha dhahiri kuwa hawaungi mkono maombi haya na nia yao ni kulitakia mabaya taifa letu.
Nilitegemea kama kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nae angehudhulia maombi haya ili kuonyesha umoja na uzalendo lakini sio kuitisha press conference wakati kuna maombi yanaendelea muda ule ule.Nini hasa nia yake?
Kuwakanganya watu?
Pia alipaswa asubiri basi hata haya maombi yaishe kama mzalendo ili afanye huo mkutano wake na wana habari.
Duh kumbe ndio mchezo waoTukikaa sana hatujasumbuana na polisi huwa tunapotea kwenye ramani.
Kwa hiyo ujanja ni kuhakikisha muda wote tunazungumzwa kwamba tumeonewa na polisi.
LabdaAu alitaka kujitangaza kuwa anahitaji msaada wa kupelekwa mloganzila!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau kuwa haiombwi na kama unawaombea ili waipate Hilo ni juu yako! Unyanyapaa kwa ccm ni Kama ngozi ya mwili, hivyo sikushangai wewe kuendekeza unyanyapaa wenu! Hampo salama kihivyo!Hawana corona na hawajawekwa karantini kama mbowe na familia yake huwezi fananisha mgonjwa Wa corona na MTU mzima Ummy,majaliwa na makonda
Wazazi wangu wanajivunia kuwa na kijana Kama Mimi ila mama yako nadhani atakuwa shupavu sana kuilea mimba ya kubakwa mpaka ukazaliwa anastahili pongeziHasara waliyoipata wazazi wako haipimiki ! Ni vema serikali ikaruhusu utoaji mimba ili kuwaruhusu wazazi kuchagua aina ya watoto wawatakao
Kwahiyo unakubali anatafuna ruzuku za chama? Nani kasema anafanana na mbowe? Usijaribu kunifananisha na muhuni tafadhaliHapo umeshakiri kakupiga gape kubwa mno!Wewe una uwezo wa kula ruzuku?Shwain kabisa,lamba viatu vya wakubwa zako upate kula,acha kujifananisha na huyo Mbowe unayemdhihaki!
Mpaka serikali inampa gari yenye hadhi kama ya mawaziri,basi ni wazi wanaujua umuhimu wake!Idiot
Punguza jazba kiwavi wa ufipaNg'ombe takataka nyie maccm
WAPUMBAVU KAMA BABA YAKOChadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kuna jinai ipi apo?Chadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Chadema nao muda mwingine wanataka tabu, kuna Instagram Live, Facebook Live, Youtube Live, Twitter Live. Shida iko wapi, weka vitu kwa mtandao, uwakwepe watesi wako
wapumbavu ni uchi wa mamako na mwenyekit wenu punga wewe.Chadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mngeanza kumtoa Kwanza mwenyekiti wa kudumu kwenye ile Sacco's ya ufipaHivi hawawezi kwenda kumtoa jiwe kwa nguvu na kumrwjesha Dar achape kazi?
Muda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...
Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.
Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter
View attachment 1426407
View attachment 1426376View attachment 1426377Hawa ndugu siwaelewagi kabisa akili zao. Kucha kutwa ndo hao wanamlaumu raisi kutokutangaza lockdown ili watu watiliwe kizuizi ii kuondoa msongamano. Hao hao wanaitisha msongamano wa waandishi wa habari.