Kinachoogopwa ni corona lake mbowe lilloko nyumbani kwake asije ambukiza wengineWanazuia Mbowe asizungumze je, wameshajua anataka Kuongea nini? Ndiyo maana nazichukia mno Siasa za sasa za Tanzania.
Kwani hawajui Basi! Sababu ni wahuni wanatafuta kiki ya kisiasaHili la kutokuwepo Kwa mkutano huu, mbona hata wao Chadema walijua tangu hata ya maazimio yenyewe,
Hivi, Serikari si ndo ilitanfazo kuondoa semina, mikutano na misongamano, Ispokuwa mikutano ya kidini nayo pia iwe ni Kwa watu wachaache Sana,
Iweje sasa Wao Chadema wavunje Hilo katazo ambalo hata mwezi mmoja bado
Au ndo kila kitu ni siasa, kuvunja kanuni ni siasa, kuvunja Sheria ni siasa, kuvunja utaratibu ni siasa, Okey, waendelee kuosoma maskitiko yetu hapa
Jidanganye hivyo hivyo.Utakufa wewe kabla CDM haijafa,wenzako wameshatangulia mbele za haki walioitabiria CDM kufa toka 2010!
Ni maagizo ya yule ambae 'kajifungia' kwao kuugulia COVID-19Hawa Polisi kuna nyakati wanafanya mambo yanayomdhalilisha Mkuu Wa nchi..
Kwani Wakiacha aongee na Wanahabari kuna mtu atakufa?
Huko CCP huwa wanakwenda kusomea Ujinga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa mbadala chadema hawawezi they don't walk their talk usiwaaminiMnalia kila siku kwamba selikali izuie mikusanyiko sasa nyie mbona mnakusanyana.?
Onesheni mfano
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule mikusanyiko wa CCM pale karimjee jana ulikuwa wa kihuni kutafuta kiki za kisiasa?Kwani hawajui Basi! Sababu ni wahuni wanatafuta kiki ya kisiasa
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Kwa hatua zipi alizopiga atakacho nizidi ni kula ruzuku na uenyekiti wake wa kudumu tu hakuna kingine alichonizidiHuyo DJ na wewe leo mkisema mtoke hadharani muoneshe hatua mlizopiga katika maisha,utaonekana wewe ndiye mwendawazimu!Hata JPM alitoka kushika chaki na sasa ni Rais baada ya kusoma kwa kuunga unga mpaka akafanikiwa!Uliza historia ya Simbachawene,alikuwa konda wa daladala na sasa ni waziri!Leo unaweza kusimama na kusema Simbachawene alikuwa konda au mchunga ng'ombe kabla?
Endeleeni kupuyanga!
OMG, ni wewe tena umekuja kwa style hii?Huyo mbowe mwenyewe nyumbani kwake kuna li corona ana roho ya kiuaji huyo waandishi Wa habari mtakufa na mi corona na vikamera vyenu
Kakiri wazi corona imetembelea nyumbani kwake hicho kiofisi cha chadema mlikipulizia dawa? Nyie chadema mtakufa kwa corona
Walisema hivyo hivyo kitambo sana,ila kila baada ya miaka 5 ndio chama kinazidi kuungwa mkono na wananchi!Hizi porojo hatujaanza kuzisikia leo JF!Au tukufukulie nyuzi kama hizo za mwaka 2008/2009!Waulize akina Lizaboni na akina Mzee mwanakijji!Jidanganye hivyo hivyo.
Halafu uje usome mchango huu baada ya October. Watanzania hawawezi kuchagua watu ambao ni mabingwa wa vurugu,matusi na kujiona badala ya kutatua shida za wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji1787][emoji2960] ummy ni waziri wa afya Sasa mbowe ni waziri wa nini labda wa misukule ya ufipaHana corona kama mbowe ambaye nyumbani kwake corona ipo
Na wewe keep safe ikiwemo kuvaa barakoa inapobidi.Hongera yako, we stay home but it's important to go out.
Hawana corona na hawajawekwa karantini kama mbowe na familia yake huwezi fananisha mgonjwa Wa corona na MTU mzima Ummy,majaliwa na makondaMajaliwa, Ummy na Makonda mbona hawajizuii kukutanisha na kukusanya watu?
Itakuwa akili yako ni chongo inayoona upande mmoja tu! Njoo diamond jubilee huku uone nyomi!
Umenena mkuuJidanganye hivyo hivyo.
Halafu uje usome mchango huu baada ya October. Watanzania hawawezi kuchagua watu ambao ni mabingwa wa vurugu,matusi na kujiona badala ya kutatua shida za wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya wametuonya vya kutosha tutakuwa kama itali wenye dhambi hawasikilizwi na mungu,maombi yatafanywa na wacha mungu tu,Muda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...
Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.
Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter
Wewe msukule kaa kimya uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho hii mifano yako ya kijuha bakia nayo huko gheto kwa Daud Bashite ambaye huongea bila kujali waziri wa Afya wala waziri mkuu[emoji23][emoji1787][emoji2960] ummy ni waziri wa afya Sasa mbowe ni waziri wa nini labda wa misukule ya ufipa
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Kanena nini? Yaani unaunga mkono mawazo ya mvuta Bangi toke gheto kwa Le mutuzUmenena mkuu
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Ni kweli hakuna anachokuzidi. Wewe ndiye unamzidi kwa kushinda humu JF 24/7.Kwa hatua zipi alizopiga atakacho nizidi ni kula ruzuku na uenyekiti wake wa kudumu tu hakuna kingine alichonizidi
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Labda wanafanya mikusanyiko ya tahadhari sio kama ile ya makonda kuwaita watu standMnalia kila siku kwamba selikali izuie mikusanyiko sasa nyie mbona mnakusanyana.?
Onesheni mfano
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenKabla ya hata kusikia nini kilitakwa kuzu gumzwa wamepata public ity kuubwa zaidi hata yale maombi yetu pale KARIMJEE!
All other options,I'm sure, are on the table. But,first,the usual 'double standards' have to/been laid bare
Sent using Jamii Forums mobile app