Toughlendon
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 498
- 724
Kusikia kwa kenge ni mpaka damu zitoke puaniUkweli serikali ina mambo mengi ya msingi ya kufanya,
Huu utapeli sio wa kwanza, kwamba watu hawakuwa na uelewa.
kuna
D9,
SCATEC,
KALYNDA,
KIJIJI
QNET
JATU
VANILLA
ALLIANCE GLOBAL
FIC
NK NK
KUNA KUJIFUNZA KWA KUSIKIA, NA KUJIFUNZA KWA KUONA/MATUKIO.
UCHAGUZI NI WAKO
Usijali tutajitahid kuwaambia mangombe ni wengi sana hapa TanzaniaSamahani mkuu
Wewe na yeye ni mtu mmoja kumbe?Nlitaka kusema dirishani chini kwa chini, hizi simu autocorrect yake itakuja kutufanya tutukane hadi wazee wetu bure
Nope kwanini umesema hivyoWewe na yeye ni mtu mmoja kumbe?
Wapi ukiweka hazitokiWeka hiyo hela account yako iwe activated.
LBL kwa maendeleo yetu.
...WAJINGA waliwao Sana na Waliao....[emoji57][emoji57]Wajinga Ndiyo Waliwao Sana Sana
Si nimeona namna ulivyojibu mkuu...umejibu kama ephen_Nope kwanini umesema hivyo
Usijiroge ukalipia ili kuingia kwenye akaunti yako, mfumo unaruhusu kuweka na sio kutoa pesa. Utalia mara mbili
Haujafuatilia hiyo convo from the beginning, me too yeye na yeye sio mimi, I am a guy and she is a girl. Pale kuna kitu nlikuwa naki clarify ni kiandika kwa kukosea ....this is the only id i have i don't need two id's this is enoughSi nimeona namna ulivyojibu mkuu...umejibu kama ephen_
Okay...gotcha🥂Haujafuatilia hiyo convo from the beginning, me too yeye na yeye sio mimi, I am a guy and she is a girl. Pale kuna kitu nlikuwa naki clarify ni kiandika kwa kukosea ....this is the only id i have i don't need two id's this is enough
Na huyu je toughlendon_1 ?....this is the only id i have i don't need two id's this is enough
😂 safi kabisa ila kama utaratibu wao ni kushirikishana fursa ni jambo zuri, shida ni kuipokea fursa na kuifanyia kazi bila kufanya tathminiKuna story nikihadithia mtacheka sana!
Kuna kanisa la walokole wamepigwa kuanzia mchungaji hadi waumini.
Walitangaziwa kanisani🤣
Yahitaji moyo mgumu kujilipua kuweka hela kwenye fursa za hivyo, kuna jamaa yangu sijui ana hali gani kwa mwenendo huu, nae mtaji wa duka aliweka humo LBL.Binafsi sisi tuna group letu la graduate tulio soma nao tangia mwezi wa kumi na moja Kama sikosei mwaka Jana...wakajiunga kwa 540k na sio Siri dada yeye kavuna zaidi ya 3m
So sisi wengine ni wagumu Sana kuingia kwenye izo ponze scheme maana kipindi Cha KALINDYA pia nilipata ushawishi mkubwa Ila Mimi nilikataa na haikupita muda watu wakaumia..
Mimi sio muumini wa hizi mambo Ila mfano ukiwa mjanja ukajiunga mapema unanufaika Ila Mimi siwezi cheza Wala kujiunga na vitu Kama hivi Bora nikalime Mananasi ikwiriri huko rufiji..
Mwenye underscore simjuiNa huyu je toughlendon_1 ?
Jina na avatar ni sawa, unasema humjui🤔Mwenye underscore simjui
Kwani hao walokole Mungu hawajaonyesha mapema kabla ya kuingia huko? Si wanajidai wana maono.wapigwe tu wanajikutaga wao ni special sana..!😅
Nyumbu kwani wanaishaga hata siku moja.Na nakuhakikishia itakuja nyingine na watapigwa tena na tena na tena