Toughlendon
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 498
- 724
Kusikia kwa kenge ni mpaka damu zitoke puaniUkweli serikali ina mambo mengi ya msingi ya kufanya,
Huu utapeli sio wa kwanza, kwamba watu hawakuwa na uelewa.
kuna
D9,
SCATEC,
KALYNDA,
KIJIJI
QNET
JATU
VANILLA
ALLIANCE GLOBAL
FIC
NK NK
KUNA KUJIFUNZA KWA KUSIKIA, NA KUJIFUNZA KWA KUONA/MATUKIO.
UCHAGUZI NI WAKO