figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #21
Nini kifanyike Mkuu?Wema wanao sema sasa mifumo imeharibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kifanyike Mkuu?Wema wanao sema sasa mifumo imeharibu
Jitahidi kufuatilia yulijue jina lake. Ili abaki kwenye kumbukumbu.Mkuu heshima kwako.
Kweli kuna mapolisi wana roho ya kiungwana sana.
Nimemkumbuka mmoja Kati ya Igunga na Nzega wakati barabara ya lami inajengwa..alisaidia watu tuliokuwa tunasotea kazi.
Kila siku chakula cha mchana tulikula kwake.
Pia ni mkulima alikuwa na TATA jeupe...bakhti mbaya jina limenitoka.
Kabisa. Askari akijifanya mwema kwa jamii, lazima limkute jambo. Huyu tumuombee.Tumuombee manake chuki fitna na majungu...vitamwandama hivi punde.
😂😂😂😂😂Ataambiwa sio kazi yake aache kujipendekeza
Hongera kwakeKumbe sio kila Polisi ana roho mbaya wala katili. Wapo Polisi baadhi wema.
Yupo Rasha mmoja kwa Polisi 1,000. Sema watu kama hawa wanakomolewa kwa kupelekwa Vijiji vya ndani ili wasionekane kitaifa.
Rasha alitakiwa ahudumie japo Wilaya nzima sio kata tu.
Wanaotenda mema bila kujali mapito yao, tuwatie moyo
Nilimshuhudia akivusha wanafunzi kwenye mto uliofulika wengine akiwabeba Mgongoni.
Mungu amlipe nini?
View attachment 2822021
Polisi Kata wa Kata ya Usangule Wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Michael Rasha akiongea na kumfariji mtoto Erick Hongera (6 ) ambaye amekuwa akikaa kwa upweke katika maeneo ya Shule.
Mtoto Erick amekuwa na mazoea ya kwenda shule ya Msingi Manda Juu na kukaa nje ya jengo la shule hiyo kwa upweke na mfadhaiko kutokana na wazazi wake kutokumpeleka shule.
Mkaguzi Rasha ameongea nae na kumfariji ili kuona ni jinsi gani anaweza kumsaidia aweze kujiunga na watoto wenzake ili kupata haki yake ya msingi ya kusoma.
Katika harakati za kumsaidia mtoto huyo, Mkaguzi Rasha amechukua hatua ya kwenda kuongea na wazazi wake ili kujua changamoto na kuitafutia ufumbuzi ili mtoto huyo aweze kwenda shule kama wanafunzi wenzake.
Credit: Picha na caption nimeitoa Channel ten
Siku hizi hawatumii tena V8...Wamehamia kwenye LC300 V6...wanatembea na 600m piece.V8 tano zinaweza hudumia watoto kama Hawa nchi nzima.weka Uzi wa kupinga V8,tuhudumie Hawa watoto wa maskini,wako wengii nchini
Chama gani ndio tumaini.Hali ni mbaya mno viongozi wapo kwa ajili ya maslahi yao ila nashangaa kijana kama wewe ambae ni mfumo umechangia kwenu ni maskini unaoña ccm ndio tumaini
Ndio! Hawa ndio askari tunaowataka katika nchi yetu. Anajua nini maana ya uzalendo. Sio uzalendo wa maneno vitendo zero! Huyo ameakisi kilichopo moyoni. Mungu akubariki Kamanda.Mkuu nampongeza askari kwa Wema aliufanya na ndio maana halisi ya kuwa askari!
Lakini napingana na wewe kwenye swala la kupewa ukuu wa wilaya…sasa watu wema wote wakipewa vyeo uko mtaani tutabaki na wakina nani? Kwanini hawa watu wasibaki mtaani ili kusambaza wema?
Mbona tutaanza kutengeneza taifa la wanafiki wanao vizia vyeo mkuu? Kwani askari huyo akipewa zawadi nyingine zaidi ya ukuu wa wiaya?
Kuna nilipomtukana mtu mimi?Acha makasiriko. Hili ni Jukwaa huru kwa kila mtu kusifia apendacho. Sasa unataka usifie upande wako tu. Tuwape nafasi watu waseme. Tukosoane kwa upendo na kuelekezana kwa heshima
Hawa ni binadamu kama wengine! Ila kuna mashetani waliokalia viti vya uongozi wa dola wanawatumia kwa sababu ya changamoto za umaskini tu.Kumbe sio kila Polisi ana roho mbaya wala katili. Wapo Polisi baadhi wema.
Yupo Rasha mmoja kwa Polisi 1,000. Sema watu kama hawa wanakomolewa kwa kupelekwa Vijiji vya ndani ili wasionekane kitaifa.
Rasha alitakiwa ahudumie japo Wilaya nzima sio kata tu.
Wanaotenda mema bila kujali mapito yao, tuwatie moyo
Nilimshuhudia akivusha wanafunzi kwenye mto uliofulika wengine akiwabeba Mgongoni.
Mungu amlipe nini?
View attachment 2822021
Polisi Kata wa Kata ya Usangule Wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Michael Rasha akiongea na kumfariji mtoto Erick Hongera (6 ) ambaye amekuwa akikaa kwa upweke katika maeneo ya Shule.
Mtoto Erick amekuwa na mazoea ya kwenda shule ya Msingi Manda Juu na kukaa nje ya jengo la shule hiyo kwa upweke na mfadhaiko kutokana na wazazi wake kutokumpeleka shule.
Mkaguzi Rasha ameongea nae na kumfariji ili kuona ni jinsi gani anaweza kumsaidia aweze kujiunga na watoto wenzake ili kupata haki yake ya msingi ya kusoma.
Katika harakati za kumsaidia mtoto huyo, Mkaguzi Rasha amechukua hatua ya kwenda kuongea na wazazi wake ili kujua changamoto na kuitafutia ufumbuzi ili mtoto huyo aweze kwenda shule kama wanafunzi wenzake.
Credit: Picha na caption nimeitoa Channel ten
Usishangae kusikia hata huko Malinyi alipelekwa ili kufifisha talents zakePolisi wa hivi wenzao huwasagia kunguni balaa, yani full majungu na fitina.
Very pathetic. Mkaguzi apewe maua yake.Mkaguzi kachukua hatua sahihi kabisa, kwanza, kwenda kusikiliza tatizo kwa Wazazi. Hivi ndivyo suluhu ya jambo inavyotatafutwa
Kwa upande mwingine sisi kama Taifa tumefeli. Huyu mtoto 'akiwa Ali Dangote' ( Mungu saidia asiwe) tunalaumu Wazazi na mtoto. Tunashindwa kuelewa hatukumuandaa kuanzia utotoni.
Tupo bize kuangalia ma V8 mangapi yatanunuliwa kwa viongozi gani.
Tupo Bize kushabikia Wabunge wanaogawa kofia na vitenge
Tupo Bize kutunga sheria za kuwalipa Wapenzi wanapostaafu kwa kisingizo cha '' wenza wa viongozi''
Tunapata wapi fedha za kuhudumia hayo hapo juu! kutoka kodi za Baba na Mama wa huyu mtoto au huyu mtoto mwenyewe siku atakapoweza kubeba gunia sokoni kwa mgongo.
Pascal Mayalla JokaKuu
Nje ya mada. VP figga, Vya Ukraine ndo basi au...😂😂😂😂😂
Kwasasa kiukweli hakuna ila mimi kwa mtazamo wangu tusiishie kusifia tu bali pia kwenye kukosoa napo tukosoe bila uogaChama gani ndio tumaini.