Polisi Michael Rasha Atoa ujumbe kwa IGP Wambura. Rais Samia ampe Ukuu wa Wilaya

Jitahidi kufuatilia yulijue jina lake. Ili abaki kwenye kumbukumbu.
 
Hongera kwake
 
Hizo hela zinazotumiwa vibaya na mama urojo kununua magoli sijui kulipia viingilio mashabiki ambao hawajaomba kulipiwa Mara elfu 10 zingetumika kusaidia watoto maskini kama hawa ingeleta maana
 
Mkuu nampongeza askari kwa Wema aliufanya na ndio maana halisi ya kuwa askari!
Lakini napingana na wewe kwenye swala la kupewa ukuu wa wilaya…sasa watu wema wote wakipewa vyeo uko mtaani tutabaki na wakina nani? Kwanini hawa watu wasibaki mtaani ili kusambaza wema?
Mbona tutaanza kutengeneza taifa la wanafiki wanao vizia vyeo mkuu? Kwani askari huyo akipewa zawadi nyingine zaidi ya ukuu wa wiaya?
 
Ndio! Hawa ndio askari tunaowataka katika nchi yetu. Anajua nini maana ya uzalendo. Sio uzalendo wa maneno vitendo zero! Huyo ameakisi kilichopo moyoni. Mungu akubariki Kamanda.
 
Acha makasiriko. Hili ni Jukwaa huru kwa kila mtu kusifia apendacho. Sasa unataka usifie upande wako tu. Tuwape nafasi watu waseme. Tukosoane kwa upendo na kuelekezana kwa heshima
Kuna nilipomtukana mtu mimi?

Kusema “Ungekuwa na akili” haijawahi kuwa tusi useme nimemkosea mtu heshima hiyo ni lugha sahihi kabisa ya kuelekezana kwenye mijadala.
 
Hawa ni binadamu kama wengine! Ila kuna mashetani waliokalia viti vya uongozi wa dola wanawatumia kwa sababu ya changamoto za umaskini tu.
Nilikamatwa na trafick nikiwa na rafiki zangu mwaka jana. Yule trafick akaanza kujadili rushwa kwa kunitaka kutoa rushwa.
Kumbe machalii kwenye gari walikuwa wanamrekodi kwa kamera za simu. Ndipo mmoja wao akanitamkia tushuke anisaidie kuongea na askari. Akaoneshwa rekodi yote na picha jinsi alivyoanza tukamtisha kwa ubabe haswa. Kijana alilia akataka hata kutupa rushwa sisi. Alidai hiyo hela inaenda hadi kwa IGP na kwamba asipofikisha "lengo" atarudishwa bench au vijijini>>>>Alilia machozi na akapiga magoti! TUlimuonea huruma na kumuacha
 
Wewe ni mgeni hapa Tanzania.
Hujiulizi kwanini alitoa huduma hiyo huku yuko ndani ya uniform?
Ni nani alichukua picha wakati huyo police officer akitoa huduma?
Polisi Tanzania mema mawili mabaya mia.
Hata hawa polisi unaowaona wazembe siku ukiua utajua kuwa si wazembe na utahisi kila mahali wanakufuata
 
Very pathetic. Mkaguzi apewe maua yake.
 
Na madelu anaweza kupita mitaa hiyo na viieite lake kafunga vioo full, nchi hii watu wanapenda umwinyi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…