Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu wa kuvipata unaenda sambamba na utaratibu uliotumika kuvishikilia hivyo vitu.Elezea hatua kwa hatua huo utaratibu ambao anapaswa kukufuata ili aweze kuvipata hivyo vitu vyake ambavyo vipo mikononi mwa Polisi.
Ndio sijakataa lakini kama hakuna mshukiwa aliyekamatwa au kesi kupelekwa mahakamani ili vile vitu viwe kama ushahidi nini maana ya kuendelea kushikilia vitu vyangu basi wapeleke kesi mahakamaniSasa ndugu hutaki kuendelea na kesi lakini mshukiwa amekufa!!!kwamba basi tu sababu hutaki kuendelea na kesi upewe vitu vyako mambo yaishie hapo!!!
Utazungushwa zaidi,sio kwamba wanataka kukupiga,ni kwamba mazingira ya kesi yako ni tata.
Basi kamuona Mwenyekiti wa ulinzi na usalama..Mkuu wa kituo kwa maana osiesi au maana kama ni huyo nishaonana naye mara kibao tena ye ndo ananizungusha sijajua wanata pesa au vipi
Na je kama ni tata ina maana ndo vitu vyangu sitovipata na je kuvipata kwann wasiniambie kuwa fanya hili fanya lileSasa ndugu hutaki kuendelea na kesi lakini mshukiwa amekufa!!!kwamba basi tu sababu hutaki kuendelea na kesi upewe vitu vyako mambo yaishie hapo!!!
Utazungushwa zaidi,sio kwamba wanataka kukupiga,ni kwamba mazingira ya kesi yako ni tata.
HIvi vitu sio vyako kisheria,ni vitu alivyokutwa navyo kibaka ambaye ni marehemu.Ndio sijakataa lakini kama hakuna mshukiwa aliyekamatwa au kesi kupelekwa mahakamani ili vile vitu viwe kama ushahidi nini maana ya kuendelea kushikilia vitu vyangu basi wapeleke kesi mahakamani
🤣🤣🤣🤣🙌TV yako watoto wa afande wanaweka ubongo kids kila siku
Mtu anataka mali yake unasema majungu shida nini?Huko Kwa mapolisi Kuna viongozi wao umeshawaona? au ni hulka ya majungu kukimbilia huku.
Kumbe Wewe ni mtu mswahili kama hao Polisi wanaolalamikiwa, nilikuwa sijui.Utaratibu wa kuvipata unaenda sambamba na utaratibu uliotumika kuvishikilia hivyo vitu.
Inavyoonekana Wewe ni miongoni mwa hao Polisi wanaolalamikiwa, maelezo yako tu yanathibitisha dhana hii.Huko Kwa mapolisi Kuna viongozi wao umeshawaona? au ni hulka ya majungu kukimbilia huku.
Ukute mpelelezi wa kesi kwake anatumia Hitachi chogo 1990s model 21" leo umtake akurudishie flat TV 43" huku kafa mtu.Huwa Sina Imani kabisa mali ikibaki mikononi mwa polisi
Hapana Sheria haipo hivyoJe nikweli sheria ndo iko hivo au nazungushwa tu maana kuna watu wengine washaanza kysema kuwa vitu vikipelekwa polisi ni ngumu kuvipata kwanni na ni mali yangu