Polisi: Mzee Philip Mangula amekutwa na sumu mwilini, ni baada ya kufanyiwa uchunguzi

Watu wangapi wanafanyiwa umafia na hamtangazi,mnafanya uchunguzi kimyakimya na taarifa tunazipataga redio mbao tu,ila hii ya Mangula mnaitangaza kabisa kwamba kapewa sumu😂😂,chezo hili anaandaliwa mtu nahisi!lirolimodo awe makini na michezo hii!
 
Hahahaha, bora ulivyompa makavu, yaani wanachama wa CCM sijui wapoje anapotajwa Membe utawaona hao wanakuja juu ukushambulia, sipati picha Membe akija kuukwaa urais hawa vijana wataweka wapi sura zao
Urais sio makalio wewe kwanba kila mtu ana uwezo wa kuyapata
 
MUMIANI ANATAFUTA DAMU,IWE NJE AU NDANI. NI DAMU INATAKIWA.KAMA YA SEPTEMBA 7 ILIGOMA MBADALA UPATIKANE. Dhambi ya kula nyama ya binadamu................!
 
'Mnamo tarehe 28/02/2020 Mzee Mangula alidondoka ghafla katika makao makuu ndogo ya CCM Lumumba mara baada ya kumaliza kikao cha kamati kuu ya Almashauri kuu ya CCM iliyokuwa ikijadiri mambo mbalimbali ya chama likwemo suala la adhabu ya wanachama watatu ambao walikuwa na tuhuma mbalimbali za ukiukwaji wa maadili ndani ya chama hicho..'

Haijakaa kama taarifa ya polisi, ni taarifa yenye mwangwi wa kisiasa toka kwa jetu letu lililojaa weledi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
johnthebaptist,
Hili LA lissu muhusika mkuu anajulikana ndo Huyu hataki lisu arudi kwa kuhofia kushindwa vibaya kwenye uchaguzi
 
Execution
 
Hivi kingunge aliuwawa na na nini vile?
Maccm bana!
 
Jana usiku wa manane nimeota kuwa kamwe nisiziamini habari zozote kutoka kwenye ile serekali ya puerto rico!
 
Wasukuma wanataka makamu mwenyekiti kutoka kanda ya ziwa, labda, Pascal anaweza kuula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…