Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Nimemfuatilia mijadala yako yote ni yakipuuzi tu, wewe unabishana na vyombo vya habari?? Haya ndio yamesababisha mpka leo watu wafurahia vifoo vya wengine sababu ya uonevu wenu. Puuuzi kubwa kabisa weweHakuna mtu aliyekamatwa kwa kuvaa dela la chadema, hacheni kuzusha uongo.
BTW Maria na Fatma walishakimbiaga nchi kitambo hawapo nchini. Wapo wanatumika na wazungu huko kutuzulia taaruki ili tuingie kwenye civil war.
Ningekuwa na baba kama wewe ningeshakutia kiberiti siku nyingi.Bora umejiengua, unasumbua baba zako bure.
Hapo umepiga ikuluWeka hapa ushahidi wa kisheria wametenda kosa gani kufurahia kifo cha marehemu?
Mbona Idd Aminin alikufa tukafurahi na hatukukamatwa?
Kuwakamata hao Intelligent Women yakupasa nawe unayewakamata uwe very Intelligent kitu ambacho ni tofauti kwa hawa unaowashurutisha kwenda Kuwakamata.Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.
Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Mkuu mi nimeshangaa Sana , mi nimepost status picha ya kikwete na caption yangu Safi kabisa nashangaa mtu mmoja mkubwa Tu kaanza kunitisha tisha....daaah , haya maisha haya jaman Sawa Tu laknAcha upumbavu. Ni kosa kwa sheria ipi ya mtandao.
Yaani eti ni sheria kwamba kila mtu akifa lazima watu wahuzunike?
Huu ni ujinga wa hali ya juu.
Acha uzushi huyu maria nimepishana nae town juzi kati na kigari chake cha njano cha kisista du acha kuwalisha watu matango pori mzeeHakuna mtu aliyekamatwa kwa kuvaa dela la chadema, hacheni kuzusha uongo.
BTW Maria na Fatma walishakimbiaga nchi kitambo hawapo nchini. Wapo wanatumika na wazungu huko kutuzulia taaruki ili tuingie kwenye civil war.
Hili swali hata mimi ninajiulza au kwa kuwa baba zao walikuwa viongozi ndani ya CCM na serikalini ? makosa wanayoyafanya hayana tofauti na wengine waliopo magerezani.Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.
Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Mkuu umekula like yangu...sikutegemea NI wewe....[emoji122][emoji122]Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.
Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Wana kosa gani mpaka wakamatwe?Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.
Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Yaweke hayo matusi yao hapa ili tusioyafahamu tuyasome na kuyapima Kama Kuna vifungu vya Sheria vimevunjwa! Pia hata wewe unaweza kwenda mahakamani kuwafungulia maahtaka bila msaada wa polisi! Chagua mojawapo Kati ya hayo but option ya pili itakufaa zaidi.Kwenda zako huko, ukiwa mtu wa sisitimu ndio ukifanya kosa usikamatwe?
Hahahaaa we jamaaWeka hapa ushahidi wa kisheria wametenda kosa gani kufurahia kifo cha marehemu?
Mbona Idd Aminin alikufa tukafurahi na hatukukamatwa?
Civil war from twitter?Hakuna mtu aliyekamatwa kwa kuvaa dela la chadema, hacheni kuzusha uongo.
BTW Maria na Fatma walishakimbiaga nchi kitambo hawapo nchini. Wapo wanatumika na wazungu huko kutuzulia taaruki ili tuingie kwenye civil war.
Madilu system labdamaria sarungi na Fatma karume ni watu Wa system
Hiyo dress code ya msiba ni kwa watu/dini gani? Mbona wengine huenda na ngoma na pombe kwenye misiba ya wapendwa wao na hawakamatwi?Unajua dress code ya msiba au unakimbilia matusi tu.
Hata kama unamchukia mtu akishakufa hakuna sababu ya kushangilia