Polisi Tanzania kwanini hamuwakamati Maria Sarungi na Fatma Karume? Mnabaki kukamata wananchi wa kawaida?

Polisi Tanzania kwanini hamuwakamati Maria Sarungi na Fatma Karume? Mnabaki kukamata wananchi wa kawaida?

Wamefurahia Mzizi Mkuu wa Korosho zao Kusombwa na Maji ya Mto Rufiji na kwamba huenda Korosho zao za Msimu ujao si tu zikawa nyingi bali pia watapata mno Faida ya Kimauzo kupitia Kangomba Wao waliowazoea.
Hii post imepiga bomu Chamwino.
 
Wanaonea wananchi wa kawaida wanaoomboleza kwa kunywa bia. Wanaovunja makosa ya mtandao wanawaacha.
Kuna makabila bila kula na kunywa pombe msibani ni sawa na kutokuwepo msiba. Wasukuma, Wanyakyusa, Wafipa nk bila pombe msibani hadhi ya msiba haitaonekana, Wajaluo ni muziki, kula na kunywa mpaka tunatawanyika. Wati watacheza Katitu juu ya kaburi la marehemu mpaka litakuwa flat. Sasa Leo unamkamata mwananchi wa Katavi na RPC anatangaza si aibu hii?
 
Unajua dress code ya msiba au unakimbilia matusi tu.

Hata kama unamchukia mtu akishakufa hakuna sababu ya kushangilia
😅😅 hua na enjoy Sana nikiona wapinzani wa jadi mnabishana .
Yaani hakuna anaekubali kushndwa ..
Umenifurahisha Sana mkuu kwamba hajui dress code ya msiba 😅😅 mpaka avae Dera la Chama pinzani
 
chadema mpoje sijui yani nawaona kama mmechanganyikiwa.
Kwa taarifa yako unaowaona ni CHADEMA wengine ni CCM tena wenye nyadhifa kubwa tu chamani. Hawataki na hawakuwahi kutaka wala kushabikia ukatili wa marehemu.
 
Weka hapa ushahidi wa kisheria wametenda kosa gani kufurahia kifo cha marehemu?

Mbona Idd Aminin alikufa tukafurahi na hatukukamatwa?
Safi sana, "mbona Idd Amin alikufa tukafurahi na hatukukamatwa?" Mwisho wa kunukuu.
 
😅😅 hua na enjoy Sana nikiona wapinzani wa jadi mnabishana .
Yaani hakuna anaekubali kushndwa ..
Umenifurahisha Sana mkuu kwamba hajui dress code ya msiba 😅😅 mpaka avae Dera la Chama pinzani
Wewe unaejua tuambie dress code ya msiba ni ipi? Ambayo imeidhinishwa kisheria mpaka mama wa huko Mtwara anakamatwa.
 
😅😅 hua na enjoy Sana nikiona wapinzani wa jadi mnabishana .
Yaani hakuna anaekubali kushndwa ..
Umenifurahisha Sana mkuu kwamba hajui dress code ya msiba 😅😅 mpaka avae Dera la Chama pinzani
Wewe unaejua tuambie dress code ya msiba ni ipi? Ambayo imeidhinishwa kisheria mpaka mama wa huko Mtwara anakamatwa.
Safi sana, "mbona Idd Amin alikufa tukafurahi na hatukukamatwa?" Mwisho wa kunukuu.
 
Polisi wanaonea watu maskini na wasiojua sheria.Inatakiwa ianzishwe Asasi yenye kutetea wananchi hawa wanyonge.Kuwapatia msaada wa kisheria dhidi ya udhalimu wa hawa polisi!
 
😅😅 hua na enjoy Sana nikiona wapinzani wa jadi mnabishana .
Yaani hakuna anaekubali kushndwa ..
Umenifurahisha Sana mkuu kwamba hajui dress code ya msiba 😅😅 mpaka avae Dera la Chama pinzani
Wewe unaejua tuambie dress code ya msiba ni ipi? Ambayo imeidhinishwa kisheria mpaka mama wa huko Mtwara anakamatwa?
 
Mnafanya kazi kwa mihemuko ya kisiasa isiyo na kichwa wala miguu. Huko mtwara mmemkamata mwanamke kwa kuvaa dera la Chadema. Huko Manyara mmekamata watu kwa kusherehekea mpaka sasa hatujasikia kuwapeleka mahakamani.

Lakini hawa watoto wa vigogo wanadhihaki kifo cha hayati JPM na kusherehekea wazi kabisa kitendo ambacho ni kosa la kimtandao lakini hawakamatwi. Fanyeni kazi bila kubagua hakuna aliye juu ya sheria.
Kila mbwa ana siku yake
 
Acha upumbavu. Ni kosa kwa sheria ipi ya mtandao.

Yaani eti ni sheria kwamba kila mtu akifa lazima watu wahuzunike?

Huu ni ujinga wa hali ya juu.

Hakuna kosa la kisheria hapo, bali kuna kosa la kijamii. Katika desturi zetu, siyo jambo linalopatana na akili kufanya sherehe kwa sababu mtu fulani kafa. Kiutu na kiubinadamu watu watakushangaa kwa tendo hilo.
Lkn kitu cha kukumbuka, not everything that legally endorsed to be right, is morally right.
 
Hakuna kosa la kisheria hapo, bali kuna kosa la kijamii. Katika desturi zetu, siyo jambo linalopatana na akili kufanya sherehe kwa sababu mtu fulani kafa. Kiutu na kiubinadamu watu watakushangaa kwa tendo hilo.
Lkn kitu cha kukumbuka, not everything that legally endorsed to be right, is morally right.
Porojo hizi
 
Kuna watu hii nchi wana kinga ...usiwafuate na pia ukiangalia uhalisia binafsi naoana wanatumia haki yao kikatiba kutoa maoni yao...hawajachagua kua wanafki
 
Hakuna kosa la kisheria hapo, bali kuna kosa la kijamii. Katika desturi zetu, siyo jambo linalopatana na akili kufanya sherehe kwa sababu mtu fulani kafa. Kiutu na kiubinadamu watu watakushangaa kwa tendo hilo.
Lkn kitu cha kukumbuka, not everything that legally endorsed to be right, is morally right.
Acha ujinga wewe pimbi,soma kifungu cha 23 cha sheria ya makosa ya mtandao. Utapata majibu. Mbona kuna kijana Iringa alikamatwa.
 
Back
Top Bottom