Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hii post imepiga bomu Chamwino.Wamefurahia Mzizi Mkuu wa Korosho zao Kusombwa na Maji ya Mto Rufiji na kwamba huenda Korosho zao za Msimu ujao si tu zikawa nyingi bali pia watapata mno Faida ya Kimauzo kupitia Kangomba Wao waliowazoea.