Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Hehehe lipumbavu gadi la dini na mtakoma tu, mpaka sasa mazombi yenu yamekufa zaidi ya 30,000
Dini inakuwa kwa kasi kwa kuzaliana sio ideology au convert watu pia ila ni dini ya hovyo ....itaendaelea kuwepo ila after sometime nchi zingine zitaanza kupiga marufuku koz ina mafundisho ya hatari kwa binadamu mfano kuchukia watu wengineKuhusu watu kuadhibiwa kula hadharani ZANZIBAR hilo naliunga mkono.Imani za watu ziheshimiwe
Unajua nashindwa kuelewa watu wanatokwa na povu kwa suala dogo kama hili kwani haswa wakati taratibu za wenzetu zipo wazi?
ZANZIBAR hakuna aliyelazimishwa kufunga ispokua utaratibu wa kule unakataza mtu kula hadharani hasa kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Na mnajua ZANZIBAR asilimia 99.999 ni waislam, na lazima tamaduni za watu ziheshimiwe kama unataka kula mchana we kula tu lakini sio vizuri kula hadharani maana yake utakua unafundisha nini jamii?
Kwa huku bara hata mtu ukila ni sawa tu maana humu tumechanganyikana watu wa dini tofauti ZANZIBAR wengi ni waislam na nashangaa watu mnatokwa na mapovu kwenye hili
Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?
Kuna mtu kahoji kwahiyo mbona sisi kwaresma huwa hatuwagusi waislam ambao unakuta hawajafunga?Swali ni mkristo yupi anafungaga kwaresma?Mimi nimekulia sehemu zenye Christian majority sijawahi kuona mtu kafunga hata kwa bahati mbaya....Kwahyo msipende kucompare dini za watu, kama mnaridhika imani zenu kuchezewachezewa kwasababu zishakua "imani cheap" ni nyie ila sio uislam.
Uislam sio dini ya masihara na mchezomchezo ndo maana ndo dini inakua kwa kasi kidunia na ipo tokea karne pamoja na kupigwa vita vya kimwili na kiroho.Watu washaacha dini yao ishaharibiwa huko na kuchezewa vya kutosha sasa wanataka uislam iwe dini ya hivyo hilo No!!
Mnaotokwa na mapovu kuhusu sakata la kula kumbukeni ZANZIBAR asilimia 99 ni waislam kwahyo tamaduni za walowengi ziheshimiwe..
Kama ulikua na mikiu yako ya kula minguruwe yako ungeenda kujifungia ndani ule kwa raha zako!! Msipende kuwaponza waliofunga!!Mimi naunga mkono wachapwe tu.kila mtu aheshimu imani ya mwenzake kama ambavyo yake huheshimiwa.
Binafsi yangu nimeishi kwenye jamii nyingine ambazo ni za imani tofauti na mimi au tamaduni tofauti ila nilifanikiwa pakubwa kuishi nao kwasababu niliishi kwa kutii taratibu zao na mambo yalienda vizuri tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daaninachoshangaa, unasema kula mwezi wa ramadhani ni ushetani, bila kujua kuwa uislam wenyewe ni ushetani. au tukufafanulie zaidi huo ushetani? utakuwa tayari kupata za uso?
Umemuuliza maswali mazuri sanaMkuu,
Unasema imani za watu ziheshimiwe.
Waislamu walio Uingereza nao walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?
Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?
Waislamu walio india walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?
Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?
Makobazi wanafiki sana, mnafanana na makaburi yaliyopambwa vizuri kwa nje ila ndani ni mifupa mikavu. Wacheni watu wajinafasi kula kujiachia. Vitendo mfanyiavyo watu hata serikali yenu imewakana acheni uhuni wa kipumbavu kwa kujifanya waswalihina kuliko hata mtume.Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?
Na nyie Dini yenu si ndio Ina saport USHOGA ama si nyie,kiongozi wenu ana bariki hukoninachoshangaa, unasema kula mwezi wa ramadhani ni ushetani, bila kujua kuwa uislam wenyewe ni ushetani. au tukufafanulie zaidi huo ushetani? utakuwa tayari kupata za uso?
Kumbe mnafahamu mnavyo fanya makaburini ni kazi bure.Makobazi wanafiki sana, mnafanana na makaburi yaliyopambwa vizuri kwa nje ila ndani ni mifupa mikavu. Wacheni watu wajinafasi kula kujiachia. Vitendo mfanyiavyo watu hata serikali yenu imewakana acheni uhuni wa kipumbavu kwa kujifanya waswalihina kuliko hata mtume.
Ni wapi kumeandikwa Wakristo wale NguruweMkuu,
Unasema imani za watu ziheshimiwe.
Waislamu walio Uingereza nao walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?
Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?
Waislamu walio india walazimishwe kutofunga na kula nguruwe kwa sababu imani za watu ziheshimiwe?
Au hii heshima ni special kwa Waislamu tu?
Sio sahihi, tatizo watendaji wengi wa serikali wana mihemko, mtu akikabidhiwa jukumu hulifanya kwa kupitiliza pasi na kuweka mbele utu. Wanajali sana maagizo wanayopewa bila kuingiza utu. Mtume Muhammad (SAAW) ameagiza kuwatendea wema wasio waislam. Na sio dhambi kama muislam atapata wageni wasio waislam mchana wa Ramadhan na akawatengea chakula. Kwani wao funga hiyo haiwawajibikii kisheria.Tafadhari naomba kufahamishwa kwa mjibu wa taratibu za kiislam ni sahihi kuwatendea hivyo wasio waislam ? Tena kwenye maeneo yao?
Kwanza ukifunga hutakiwi kujionyesha,unafunga rohoni na sio mwilini. Usikute umefunga Ila unachati na mchepuko unamwambia subiria nifungue tutafanya kula utamu.Kuhusu watu kuadhibiwa kula hadharani ZANZIBAR hilo naliunga mkono.Imani za watu ziheshimiwe
Unajua nashindwa kuelewa watu wanatokwa na povu kwa suala dogo kama hili kwani haswa wakati taratibu za wenzetu zipo wazi?
ZANZIBAR hakuna aliyelazimishwa kufunga ispokua utaratibu wa kule unakataza mtu kula hadharani hasa kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan
Na mnajua ZANZIBAR asilimia 99.999 ni waislam, na lazima tamaduni za watu ziheshimiwe kama unataka kula mchana we kula tu lakini sio vizuri kula hadharani maana yake utakua unafundisha nini jamii?
Kwa huku bara hata mtu ukila ni sawa tu maana humu tumechanganyikana watu wa dini tofauti ZANZIBAR wengi ni waislam na nashangaa watu mnatokwa na mapovu kwenye hili
Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?
Kuna mtu kahoji kwahiyo mbona sisi kwaresma huwa hatuwagusi waislam ambao unakuta hawajafunga?Swali ni mkristo yupi anafungaga kwaresma?Mimi nimekulia sehemu zenye Christian majority sijawahi kuona mtu kafunga hata kwa bahati mbaya....Kwahyo msipende kucompare dini za watu, kama mnaridhika imani zenu kuchezewachezewa kwasababu zishakua "imani cheap" ni nyie ila sio uislam.
Uislam sio dini ya masihara na mchezomchezo ndo maana ndo dini inakua kwa kasi kidunia na ipo tokea karne pamoja na kupigwa vita vya kimwili na kiroho.Watu washaacha dini yao ishaharibiwa huko na kuchezewa vya kutosha sasa wanataka uislam iwe dini ya hivyo hilo No!!
Mnaotokwa na mapovu kuhusu sakata la kula kumbukeni ZANZIBAR asilimia 99 ni waislam kwahyo tamaduni za walowengi ziheshimiwe..
Kama ulikua na mikiu yako ya kula minguruwe yako ungeenda kujifungia ndani ule kwa raha zako!! Msipende kuwaponza waliofunga!!Mimi naunga mkono wachapwe tu.kila mtu aheshimu imani ya mwenzake kama ambavyo yake huheshimiwa.
Binafsi yangu nimeishi kwenye jamii nyingine ambazo ni za imani tofauti na mimi au tamaduni tofauti ila nilifanikiwa pakubwa kuishi nao kwasababu niliishi kwa kutii taratibu zao na mambo yalienda vizuri tu.
Nabii Issa AS nae alisujudu kama hivi unavyo ona Umma Bora unafanya.Nyie mapumbavu sana yaani mkiambiwa mdhihirishe uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mfanye hayo maujinga yote mnakosa la kusema zaidi ya kuvaa dera/kanzu mfanane na muarabu. Sasa hivi hiyo dini yenu ndio chukizo la dunia, imekua kero hadi basi, hamtakiwi popote, mnalazimisha huo upumbavu wa muarabu kwa kila mtu, ona hii picha mlivyo na upumbavu wa kunyanyua makalio katikati ya barabara za nchi ya watu.....