Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Wewe pimbi kweli wewe si umesema nilete evidence kutoka kwenye Bible,sasa Agano la kale sio Bible but agano jipya ndio Bible,endelea kukaza FUVU huko viongozi wenu wakiwa wanaendelea Kubariki ndoa za Jinsia moja.
Kwa nini una ji limit kwenye ligi za Ukristo na Uislamu wakati hii issue ni pana kuliko Ukristo na Uislamu?

Hata tukiuondoa Ukristo na mambo ya Biblia kuondoa migogoro ya tafsiri.

Waislamu wapo minorities kwenye nchi ambazo si za Kikristo, huko India, huko Japan.

Sasa, ni sawa Wajapan na Wahindu wawanyanyase Waislanu waliopo huko, wawalishe nyama ya nguruwe mchana kwenye mfungo wa Ramadhan kwa sababu Waislamu wanatakiwa kuheshimu dini za wenyeji wa huko?
 
sema waroma wameuwa kuliko wengine, ila sio wakristo. wapi wameuwa tueleze? wapi wakristo wanachapa watu wengine wasiofunga, wapi wanajitoa mhanga, wapi wanavikundi vya al shabab, wapi wanaamriwa kuua wasio wakristo.
Waroma ndio wakristo wenyewe wao ndio wametunga story zote mpka za utatu mtakatifu wao ndio wamezipanga tena kwa kura, siku ya jpili. Na utunzaji wa biblia na kufanya edit ni wao ,wewe sijui unazungumzia wakristo wepi.
 
Hiyo juu yako.
waislam acheni kujiona dini yenu ndio important ya wengine sio halafu mforce watu wawe kama nyie . Eti mfuate taratibu zenu. Nyie nani hakuna kwenye ukristo tumefundishwa kuheshimu sio kulazimishwa
 
Kwa nini una ji limit kwenye ligi za Ukristo na Uislamu wakati hii issue ni pana kuliko Ukristo na Uislamu?

Hata tukiuondoa Ukristo na mambo ya Biblia kuondoa migogoro ya tafsiri.

Waislamu wapo minorities kwenye nchi ambazo si za Kikristo, huko India, huko Japan.

Sasa, ni sawa Wajapan na Wahindu wawanyanyase Waislanu waliopo huko, wawalishe nyama ya nguruwe mchana kwenye mfungo wa Ramadhan kwa sababu Waislamu wanatakiwa kuheshimu dini za wenyeji wa huko?
Jee umeona alicho uliza kisha me ndo nikamjibu
 
Jee umeona alicho uliza kisha me ndo nikamjibu
Umekimbia kujibu seali langu oa post namba 203.

Ndiyo hilo hilo linakurudia, hata ukiwafuta Wakristo, bado swali linakuandama.

Niliandika hivi.

Hujajibu swali.

Achana na Wakristo.

Waislamu wakiwa Japan huko, watu wanakula nguruwe.

Waislamu walazimishwa wale nguruwe mwezi wa Ramadhani kwa sababu wanatakiwa kuheshimu dini za wenyeji wao?

Kwa nini unakwepa swali hili?
 
N
Sijakuelewa.
Maana hakuna sheria katika uislam inayoruhusu kwa wanachofanya Zanzibar.
Labda sijakuelewa unaulizia sheria ipi.
Kufunga ni kwa mtu mwenyewe wengine hawahusishwi hata wawe wanakula hadharani.
Japo kibusara si vizuri kula hadharani kipindi hiki,ila hakuna sheria iliyowekwa ya kumhukumu mtu akila hadharani.

Unakula saa 1 usiku, saa 5 usiku unakula na saa 10 unakula tena.
Akila hadharani anakutamanisha tena. Tatizo huwa mnafunga kula na siyo kuacha dhambi. Umefunga na bado unapenda ugomvi
Sheria zipo znz unateseka wewe ulioko tandika kwa mfuga mbwa ujinga ni mzigo pole sana
 
Kuna dini ukizifata lazima uwe chizi na kama sio chizi basi uwe ndondocha ...hivi kufunga ufunge ww kwa faida yako ww sasa kula yangu inakuhusu nini kama sio usengerema.Kuna shekhe mimavi mmoja tumeenda kuzika akaanza kuleta kauli za kupnda dini nyingine mm nikampa za uso sizani km yule mpuuzi atakujaga kurudia ujinga wa kudharau dini nyingine.
Sheria zipo znz unateseka wewe ulieko kibosho ujinga kweli ni mzigo pole sana
 
Makobazi wanafiki sana, mnafanana na makaburi yaliyopambwa vizuri kwa nje ila ndani ni mifupa mikavu. Wacheni watu wajinafasi kula kujiachia. Vitendo mfanyiavyo watu hata serikali yenu imewakana acheni uhuni wa kipumbavu kwa kujifanya waswalihina kuliko hata mtume.
Sheria zipo znz wewe mtanganyika wa tandale kwa ndevu inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole
 
Makobazi wanafiki sana, mnafanana na makaburi yaliyopambwa vizuri kwa nje ila ndani ni mifupa mikavu. Wacheni watu wajinafasi kula kujiachia. Vitendo mfanyiavyo watu hata serikali yenu imewakana acheni uhuni wa kipumbavu kwa kujifanya waswalihina kuliko hata mtume.
Sheria zipo znz unaumia wewe mtanganyika ulioko manzese kwa mfuga mbwa pole sana
 
Hakuna Sheria Ya Zanzibar Bali Kuna Sheria Ya Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania. Na Pia Zanzibar Sio Nchi Ya Kiislamu Wala Kikristu Tutambue Hilo. Ile Sio Nchi Kama Ni Nchi Walete Ushahidi Wa Bendera Ya Zanzibar.
Tatizo lako unaifananisha znz na mkoa wako kilimanjaro unasahau kwaba na wao kuna Mambo wana mamlaja nayo kama hayo ya kuzuia watu kula hadharani mchana wa Ramadhani
 
Utanipangiaje pa kulia chakula changu? Kwani ulinisaidia kukitafuta. Walafi tu nyie. Mtu mzima unashindwaje kujizuia na kuendelea na mfungo wako kisa umemuona mtu akila chakula chake? Nyie ni watoto wenye maumbo makubwa tu. Hivyoooo
Hizo ni sheria na taratibu walizoziweka hao smz usipofata polisi wapo watakushughulikia
 
Sasa kama Zanzibar hakuna mtu anayelazimishwa kufuata Uislamu, kwa nini watu wanaokula wazi mchana katika mwezi wa Ramadhani wanabugudhiwa?

Ikiwa hii ni habari inayohusiana na mfungo wa Ramadhani, utaitenganisha vipi na watu kulazinishwa kufuata Uislamu?

Kama hili jambo halihusiani na Uislamu, kwa nini viongozi wa Waislamu Zanzibar hawajatoka na kusema wazi kulaani haya mambo na kusema jamani haya mambo hayahusiani na Uislanu?
Znz kula hadharani mchana wa Ramadhani ni kosa hizo sheria zipo muda mrefu tu na kabla ya Ramadhani Serikali ishatoa Angalizo
 
Hizo ni sheria na taratibu walizoziweka hao smz usipofata polisi wapo watakushughulikia
Zanzibar hakuna sheria inayokataza mtu kula mchana kipindi cha Ramadhan, hizi ni figisu za watu tu.

Ndiyo maana wanaishia kusema "heshimu utamaduni wa watu" na "heshimu dini za watu". Hakuna sehemu ambapo wanakwambia heshimu sheria za Zanzibar.

Kama unabisha iweke hapa hiyo sheria tuione.
 
Znz kula hadharani mchana wa Ramadhani ni kosa hizo sheria zipo muda mrefu tu na kabla ya Ramadhani Serikali ishatoa Angalizo
Zanzibar hakuna sheria inayokataza mtu kula mchana kipindi cha Ramadhan, hizi ni figisu za watu tu.

Ndiyo maana wanaishia kusema "heshimu utamaduni wa watu" na "heshimu dini za watu". Hakuna sehemu ambapo wanakwambia heshimu sheria za Zanzibar.

Kama unabisha iweke hapa hiyo sheria tuione.
 
zanzibar wasituletee udini, huko sisi tumevuka tunapambana na ujinga mwingine....tusirudishane nyuma, kama mnataka mfunge muwe mnaishi misikitini hadi muumalize mwezi, msije mtaani mkazurula muone watu wakila bata halafu mimate iwajae bure, kama vipi msifunge pigeni misosi maana kula si dhambi, muache uongo, uizi, uzinzi, na madhambi mengine tu
Sheria zipo znz unateseka wewe ulioko tandika maguruwe pole sana
 
Zanzibar hakuna sheria inayokataza mtu kula mchana kipindi cha Ramadhan, hizi ni figisu za watu tu.

Ndiyo maana wanaishia kusema "heshimu utamaduni wa watu" na "heshimu dini za watu". Hakuna sehemu ambapo wanakwambia heshimu sheria za Zanzibar.

Kama unabisha iweke hapa hiyo sheria tuione.
Wewe wacha kujifanya mjuaji hizo sheria zipo toka Enzi na Enzi wewe njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua kama zipo au hakuna karibu sana znz
 
Kwani katiba ya jamhuri ya muungano inasemaje hapo ndio africa tunaponekana hatujielewi sheria inasema nchi haifuiti mrengo wowote wa dini ila kinachoendelea kinashangaza sana kuna kipindi Mtikila alikuwa anaenda zanzibar na anakula na hakuna aliyekuwa anamkamata maana walijua angefungua kesi ya kikatiba.
Inaonyesha umesahau kua znz wana katiba yao wana sheria zao
 
Wewe wacha kujifanya mjuaji hizo sheria zipo toka Enzi na Enzi wewe njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhani ndio utajua kama zipo au hakuna karibu sana znz
Sheria gani?

Iweke hapa nukuu kifungu fulani fulani cha sheria za Zanzibar kinasema hivi na hivi.

Weka maneno ya hiyo sheria kama yalivyoandikwa kwenye sheria, tupe chanzo chako.

Usilete maneno ya uongo tu.
 
Inaonyesha umesahau kua znz wana katiba yao wana sheria zao
Sheria gani?

Iweke hapa nukuu kifungu fulani fulani cha sheria za Zanzibar kinasema hivi na hivi.

Weka maneno ya hiyo sheria kama yalivyoandikwa kwenye sheria, tupe chanzo chako.

Usilete maneno ya uongo tu.
 
Zanzibar sio Nchi inayoongozwa na Sheria za Kiislamu, Zanzibar ni nchi inayoongozwa na katiba huru.

Inakuwaje unamkamata mtu kwa sababu ya kutokufunga Ramadhan, ni wapi kwenye katiba wamesema kwamba usipofunga inapaswa kuswekwa Ndani. Mkianza kutuletea sheria za kiarabu Kwenye ardhi za Tanzania basi kuna uwezekano mkaleta pia mambo ya Udini na vikundi vyenye itikadi kali kama ilivyo kwenye majimbo ya Nchi ya Nigeria yanayoongozwa na sheria kali za kiislamu. Na maeneo hayo hayo ndio makazi ya vikundi kama Boko Boys au Boko Haram.

Uwezi kumlazimisha mtu kufunga kwa sababu hiyo ni kati yake yeye na MUNGU wake, ukimpazimisha mtu kufunga kama hajasadiki au kuridhia ni sawa na kutwanga maji tu kwa sababu hatopata swawabu yoyote kwa mujibu wa imani ya kiislamu atafunga kwa kuwaridhisha watu tu. Mwili ni wake, mbona hakikosa chakula hamuwapelekei kuwalazimisha wale kama jinsi mnavyowalazimisha kushinda njaa.

Badala ya kushurutisha watu kushinda njaa kwa lazima, wafundisheni misingi ya Dini ya kiislamu na wafundisheni umuhimu wa mfungo wa ramadhani hili mtu atambue umuhimu wa kufunga na afunge kiroho safi.

Sheria hiyo ya kamata kamata watu wasiofunga inakiuka haki za mtanzania na vifungu vya katiba.

Pia Soma:
- Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
Zanzibar ni nchi huru yenye, tamaduni, mila na desturi zake. Pia sheria kanuni na katiba yake, wewe kama nani uwaingilie?
 
Back
Top Bottom