Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Kuna vitu ukivisoma vya huyu mama mpaka unaogopa hata kuendelea kusoma.

Pamoja na yote na kitu chochote kikitokea mange wewe ni mshindi.
Kuna ushindi gani akiwa ananyea debe, mi namshauri aweke akiba ya maneno duuuh, sio kwa matusi hayo,
 
Mungu amlinde mange ndo shujaa wetu.

Mungu Mungu Mungu mlinde Dada huyu naamin ipo siku watu watasema bila mange nchi hii isingekomblewa.

Ananikumbusha yule kijana wa Tunisia nadhani alijilipua moto
 
Kwanza kwa watoto wale aliozaa na rais wa US c ajabu na yeye ni raia wao so wakimgusa lazima moto utawaka. Si mnajua vile nchi za wenzetu zinavyojali sana raia wake
Raia wa usa halafu anatumia passport ya Tanzania? Uliona wapi?
 
Hahahaaaaa! We mtoto wewe unafananisha kifo na usingiziii. Achana na Mange, ni kubwa la maadui. Mimi im just small time
Hahaa bora umekuja mwayego asijekutafutia matatizo
 
Ivi unadhani unachofikiria mwenzio hajawah kufikiria miaka ya nyuma
Kabla hujaandika tafakari kaka usizidiwe IQ na mtoto wa kike
Hahahahaha sijui IQ ya Mange umeipima lini na kujua ni kubwa ?

Pia kuna uwezekano IQ yako ndio ikafanana na yawatoto wa kike coz mahaba yamekuzidi mpaka unashindwa kutumia maarifa japo kidogo kama Mange hana uraia wa US ni lazima atakuja tu au ataenda ubalozini kubadilisha Pass kwani ni Miaka 10 tu na kama si Raia Tanzania wanaweza ifuta pass kwani Pass ni mali ya serikali wanaweza kuichukua muda wowote
 
Siri za ikulu ya Marekanizenyewe zinavuja, itakuwa za ofisi na maafisa wa serikali. Dawa ni kujirekebisha. Kama huna cheti anza.
 
nawe si ni miongoni mwa maloser wa lumumba?? Tulia bwana imepenya iyo..
 
Nahisi umeloose marinda
 
Unawajua wanaompasia hizo nyeti za ndani ya Serikali yako? Hao hao watamtengenezea passport nyingine na kuituma kwake kirahisi sana.

"The Home of Great Thinkers"
 
Tusahau viwanda awamu hii ila tujiandae kupotea kwa wingi hasa wakosoaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…