Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Mungu amlinde mange ndo shujaa wetu.

Mungu Mungu Mungu mlinde Dada huyu naamin ipo siku watu watasema bila mange nchi hii isingekomblewa.

Ananikumbusha yule kijana wa Tunisia nadhani alijilipua moto
 
Kwanza kwa watoto wale aliozaa na rais wa US c ajabu na yeye ni raia wao so wakimgusa lazima moto utawaka. Si mnajua vile nchi za wenzetu zinavyojali sana raia wake
Raia wa usa halafu anatumia passport ya Tanzania? Uliona wapi?
 
Ivi unadhani unachofikiria mwenzio hajawah kufikiria miaka ya nyuma
Kabla hujaandika tafakari kaka usizidiwe IQ na mtoto wa kike
Hahahahaha sijui IQ ya Mange umeipima lini na kujua ni kubwa ?

Pia kuna uwezekano IQ yako ndio ikafanana na yawatoto wa kike coz mahaba yamekuzidi mpaka unashindwa kutumia maarifa japo kidogo kama Mange hana uraia wa US ni lazima atakuja tu au ataenda ubalozini kubadilisha Pass kwani ni Miaka 10 tu na kama si Raia Tanzania wanaweza ifuta pass kwani Pass ni mali ya serikali wanaweza kuichukua muda wowote
 
SIDHANI KAMA KUNA HAJA YA KUHANGAIKA NA MANGE, pa kuparekebisha ni jikoni, jiko linavuja unakimbilia njie utanyeshewa tu. pia waosha vyombo jikoni wana thamani sana..wana ndugu zao wangependa nao wale chakula cha jikoni.
mh! sijui nakosea- ngoja nikimbie......
Siri za ikulu ya Marekanizenyewe zinavuja, itakuwa za ofisi na maafisa wa serikali. Dawa ni kujirekebisha. Kama huna cheti anza.
 
Ni loser........hana lolote....habari zenyewe huwa anatumiwa na maloser wenzake.....haeleweki anasimamia upande upi.... wakati wa uchaguzi alimtetea sana rais.... alimpa kila sifa...nadhani alijua JPM akiingia akiwa rais atapata chochote.......alimtukana lowasa na upinzani matusi yeyote....alimdhalilidha kwa style zote.....leo mange huyo huyo kageuka.....kama unavyosema akiwa na chuki na mtu.....mhh....huyo wema anayejifanya mdogo wake anafanya laana zote lakini hajawahi msema vibaya hata cku moja.....wanaomuunga mkono huwa ni maloser wenzake wasiojitambua kama yeye
nawe si ni miongoni mwa maloser wa lumumba?? Tulia bwana imepenya iyo..
 
Ni loser........hana lolote....habari zenyewe huwa anatumiwa na maloser wenzake.....haeleweki anasimamia upande upi.... wakati wa uchaguzi alimtetea sana rais.... alimpa kila sifa...nadhani alijua JPM akiingia akiwa rais atapata chochote.......alimtukana lowasa na upinzani matusi yeyote....alimdhalilidha kwa style zote.....leo mange huyo huyo kageuka.....kama unavyosema akiwa na chuki na mtu.....mhh....huyo wema anayejifanya mdogo wake anafanya laana zote lakini hajawahi msema vibaya hata cku moja.....wanaomuunga mkono huwa ni maloser wenzake wasiojitambua kama yeye
Nahisi umeloose marinda
 
Hahahahaha sijui IQ ya Mange umeipima lini na kujua ni kubwa ?

Pia kuna uwezekano IQ yako ndio ikafanana na yawatoto wa kike coz mahaba yamekuzidi mpaka unashindwa kutumia maarifa japo kidogo kama Mange hana uraia wa US ni lazima atakuja tu au ataenda ubalozini kubadilisha Pass kwani ni Miaka 10 tu na kama si Raia Tanzania wanaweza ifuta pass kwani Pass ni mali ya serikali wanaweza kuichukua muda wowote
Unawajua wanaompasia hizo nyeti za ndani ya Serikali yako? Hao hao watamtengenezea passport nyingine na kuituma kwake kirahisi sana.

"The Home of Great Thinkers"
 
Tusahau viwanda awamu hii ila tujiandae kupotea kwa wingi hasa wakosoaji
 
Back
Top Bottom