Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

Kuna clip inatembea mtandaoni na hao watu ni waarabu wakiwa na bendera ya Tanzania wakiimba na kushinikiza kiiSlam! Nini hasa kinajiri bado kitendawili. Mwenye nayo atupie humu!
 
Unao ushahidi wa hili, au unajiandikia tu na wewe uonekane upo mtandaoni?
Kama usemayo ni kweli, basi tumefikia hatua ambayo hatujawahi kuifikia kama taifa. Kama hili lipo,, kuna makubwa yatakayofuata.
Hili siyo jambo la kufichika kama lipo.
Unataka ushahidi nikuletee kwenye matacle yako k3ng3 wewe?
 
Mkuu, nilikuelewa vizuri kabisa hoja yako toka mwanzo.

Haya unayoyasema hapa siyo kwamba waTanzania hawayaoni au hayawasumbui. Nadhani hoja yako ingepata uzito zaidi kama ungejikita katika kutaka kujua kwa nini hali iwe hivyo?

Kwamba waTanzania hawa hawajali kunyanyaswa na serikali yao?

Kwamba wapo tu hayawahusu yanayowapata wezao?

Kwamba waTanzania hawa wanaiogopa serikali kwa vile ina mitutu ya bunduki nyuma yake?

Binafsi siyaamini majibu ya hayo maswali hapo juu.
Nijuavyo mimi, waTanzania hawa wanayajua yote haya na yanawasumbua sana kwamba yanatokea nchini mwao.
Kinachokosekana miongoni mwao ili washughulike na kuibadili hali hiyo ni uongozi tu unaoweza kuwaweka pamoja kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya.

Hali sasa imefika pabaya zaidi, na uamzi watauchukua hata kwa kutumia uongozi wasiokuwa nao imani kubwa, mradi tu uwaongoze kutoka kwenye hii hali duni inayozidi kuharibika kila siku.

Kwa hiyo nakusihi uvute subira kidogo, na ushiriki kwa kiasi chako hapo ulipo wewe.
 

Kwamba?

"Hata hivyo tarafa ya Ngorongoro ni eneo la Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro na kwamba kuingia na kutoka eneo hilo ni sharti kufuata taratibu zinazosimamia eneo hilo (kupata kiball kutoka Mamlaka ya Ngorongoro)."

Hiiiiiiiii bagosha! --- nabii jiwe katika maneno yake.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Chawa Force Unit
 
Unao ushahidi wa hili, au unajiandikia tu na wewe uonekane upo mtandaoni?
Kama usemayo ni kweli, basi tumefikia hatua ambayo hatujawahi kuifikia kama taifa. Kama hili lipo,, kuna makubwa yatakayofuata.
Hili siyo jambo la kufichika kama lipo.
Vitisho vya kitoto kabisa hivi, wewe ni mnufaika wa huo UHARAMIA wa serikali ya ccm? Ni shahidi ngapi zimepelekwa kwenye mamlaka husika na hazijawahi kufanyiwa kazi? Grow up black man
 
Njoo ule maisha huku na watoto wakali wewe, NJAA na UJIRA wa kusifia uhalifu na upumbavu zitakuua huko Lumumba

View attachment 2743595
Si nilisema wewe ni bwege tu, kumbe hukuelewa?

Kama haya ndiyo maisha unayoyasujudia, huoni kuwa wewe ni bwege kwelikweli?

Hapo na hao watu wana lipi la ziada linalokufanya wewe kutamani maisha hayo?
 
Vitisho vya kitoto kabisa hivi, wewe ni mnufaika wa huo UHARAMIA wa serikali ya ccm? Ni shahidi ngapi zimepelekwa kwenye mamlaka husika na hazijawahi kufanyiwa kazi? Grow up black man
Vitisho hapo vipo wapi?
Ulichofanya hapa ni kuthibitisha kwamba unajiropokea tu mambo bila ya kuwa na uhakika wowote wa uwepo wa mambo hayo.

Hovyo kabisa.
 
Kuna simba 4,na chui watatu wameonekana wakizurura maeneo husika na ndio sababu ya Mamlaka husika kuzuia watu kudhuru maeneo hayo ni kwa usalama wao, msijie mkaliwa na Simba mkaitupia lawama serekali.
 
Taratibu zote zimefuatwa, vibali vimetolewa na TANAPA, Sasa Polisi wanafanya kazi isiyowahusu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Trh 1 mwezi ujao jiandae kuwa msitali wa mbele hili mkamtoe ikulu
 
Hamna kwenda mnataka mkapige umbeya kwa wamasai kwanza hakuna mmasai chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…