Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

Kila kona Dkt Samia! Tanzania inazizima kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kuongoza. 2025 ni yeye tu na wala hatuhutaji kupiga kampeni kubwa maana anakubalika sana!
Jichunguze,
Hata mwenyewe anaelewa kinachoendelea, hakuna mtu hata mmoja mwenye akili zake timamu akapange foleni kumpigia kura hangaya
 
Duh
 
Una habari ipi wew mshamba 🚮
 
Ngorongoro ni hifadhi ya kidunia kwa sasa si ya Tanzania pekee.

Waliohamia humo ndani kuishi na wanyama, wote wanaondolewa na wameshapewa sehemu zingine za kuishi.

Lussu anataka kwenda kuhutubia fisi? Si akahutubie kwao kwenye mafisi wengi.
Hauko sawa wew
 
Loliondo nako ni kitalu cha kuwinda, nani alimwambia waliokodisha hicho kitalu na wageni wao wanaokuja kuwinda kuwa wanataka siasa?

Huyo mwehu anatafuta kiki kijinga.
haya mwenzako anatafuta kiki! Shangazi wewe unatafuta nini?kujaza utumbo.....?
 
Pumbavu mkubwa wewe mjaa laana. Nani ambaye hajui Kama Ngorongoro unaingia kwa kibali?. Unajiona much know kumbe boya tu. Bakia na Samiah again wakati hata mafuta yamewashinda
Ulikuwa hujui ila sasa umejua baada ya kukuelewesha. Uwe unasoma nyuzi na comments zangu zina madini mengi
 
lisu kwa machafuko hapana kwa kweli uzuri watanzania wanamsanifu tuh
 
Rekebisha heading isome" Police wawagomea wananchi kufanya mkutano Loliondo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…