ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Unaishi wapi mdau? Nahisi wewe haupo Tanzania kabisa. Mbona kila sehemu sifa za Dkt Samia ni kedekedeJichunguze,
Hata mwenyewe anaelewa kinachoendelea, hakuna mtu hata mmoja mwenye akili zake timamu akapange foleni kumpigia kura hangaya
Humpendi??Magu alikosea sana sana! Kutuachia huyu
Burundi...Unaishi wapi mdau? Nahisi wewe haupo Tanzania kabisa. Mbona kila sehemu sifa za Dkt Samia ni kedekede
CCM ni imani...si ya KIDINI...hainunui nafsi....kuhusu akili ni kweli.....akili ya kutambua thamani bora ya taifa hili...Hawana hoja hawa vijana wa CCM washauzwa kinafsi na kiakili pia
[emoji2956]Labda nyie wavuta bangi, sisi werevu tuna Imani na samia
You are not a noble woman at all, screenshot yourselfNyie mgusane hukohuko mnakofundishana na wale wazee maarufu kwa mambo hayo. Mpaka umoja wa Mataifa inawajuwa kama inavyoijuwa Ngorongoro. Unataka ushahidi?
Nafahamu sana, kwenu kawaida kuguswa guswa na kuchezewa huko "ikweta", kwetu hata mikono hatugusani kijinga. Kumbuka hilo.
Huyo mwehu kuna habari zake tunazo, kuwa kishaanza kumkorofisha Mbowe, anadai na yeye mgao wake kwa nguvu.
Mbowe kasema hataki kuonana nae kabisa, jiulize kwanini? Huyo ukimuona alipo Mbowe ujuwe kajipeleka tu.
Hivi Wana CCM hanakubaliana na haya mambo ya kihuni??Samia ni zimwi kabisa, hivi huko Ngorongoro wanaficha kitu gani? huyu mwanamke ni mtu wa ajabu na hatari sana, asiye huruma kabisa.
Sasa ameamua kutumia cheo chake kuwanufaisha anaowajali yeye, wala hatujali watanganyika alioapa kuwatumikia.
Huyu mtu anastahili kabisa kupelekwa mahakamani kwa kukiuka kiapo alichoapa, amegeuka msaliti wa wazi kabisa asiye na chembe ya aibu.
Sitaki kuamini siku hizi ndani ya nchi yetu kuna sehemu hatutakiwi kukanyaga, huku ni kuvunja sheria makusudi, halafu akiambiwa ukweli anasema ameziba masikio na kutafuta uadui na watu, huyu dikteta mwanamke ni balaa kabisa.
Wajue tu, vile wanavyozidi kuzuia watu wasiende Ngorongoro ndivyo ambavyo wengi watataka kujua wanachoficha huko, iko siku ukweli utafahamika.
Wewe ni sadistMaudhui makuu ya haja yako ni;
1. Polisi kumzuia/kumgomea Tundu Lissu (CHADEMA) kufanya mikutano kwenye maeneo ya kata zilizotajwa huko Loliondo & Ngorongoro.
Sawa, barua ya polisi ni hiyoβοΈβοΈβοΈ
2. Tundu Lissu/CHADEMA kutokukubaliana na polisi na kusema kuwa lazima watakwenda maana eneo hilo sio gereza..
Sawa, lakini kauli au barua ya CHADEMA kuthibitisha hili iko wapi?
Endeleeni kujuaNyie mgusane hukohuko mnakofundishana na wale wazee maarufu kwa mambo hayo. Mpaka umoja wa Mataifa inawajuwa kama inavyoijuwa Ngorongoro. Unataka ushahidi?
Nafahamu sana, kwenu kawaida kuguswa guswa na kuchezewa huko "ikweta", kwetu hata mikono hatugusani kijinga. Kumbuka hilo.
Huyo mwehu kuna habari zake tunazo, kuwa kishaanza kumkorofisha Mbowe, anadai na yeye mgao wake kwa nguvu.
Mbowe kasema hataki kuonana nae kabisa, jiulize kwanini? Huyo ukimuona alipo Mbowe ujuwe kajipeleka tu.
Wewe na Lisu nani ana akili?Unadhani Ngorongoro ni kama kwenda Mbagala...!! Pale getini atapitaje? Akipita kinyemela atachukuliwa kuwa ni jangili... asubiri 2025. Ngorongoro ni eneo linaloiletea nchi fedha nyingi za kigeni na halipaswi kuvurugwa na siasa za kipumbavu za kina Lissu na genge lake. Kama yeye ni shujaa aende akafanyie mkutano wake pale Lugalo au Monduli TMA. Akijifanya kichwa ngumu hakuna rangi ataacha kuona kwa askari wa Ngorongoro... Askari wa kule wafanye kazi ngumu ya kulinda wanyama na bado wapoteze muda na mtu msumbufu kama Lissu?
We mzee mbona unakuwa muongo sana, mi nipo kwa Samia kabisa unguja hawamuelewi. Achilia mbali sifa zenu mnazompa mi nahisi yeye mwenyewe anaelewa uhalisia uliopo nchiniUnaishi wapi mdau? Nahisi wewe haupo Tanzania kabisa. Mbona kila sehemu sifa za Dkt Samia ni kedekede
Ivi unajua kwamba idadi ya likes ktk post yako inakupa majibu ya ulicho andika??.Nadhani wanakosea. Rais Dkt Samia hataki uminyani ya uhuru wa siasa. Hawa polisi wanakosea. Mh. Lisu hata fanyeje hakubaliki kabisa. 2025 ni Dkt Samia pekee ndiye anapendwa zaidi. Polisi wamuache azurule atakavyo maana kukaa ndani ulaya kumemchosha sana. Ukizingatia hana mshahara hizo ndiyo per diem zake jamani.
Una elimu gani?lisu kwa machafuko hapana kwa kweli uzuri watanzania wanamsanifu tuh
Kwahiyo hapo shujaa alikuwa nani?ππππ₯
Shujaa Magufuli alimzuia Tundu Lisu kufanya mkutano Kibaha lakini Kidume Antipas kilienda na Mkutano alifanya πππΌπ
Shujaa MagufuliKwahiyo hapo shujaa alikuwa nani?
Wewe hapoWewe na Lisu nani ana akili?