Samia ni zimwi kabisa, hivi huko Ngorongoro wanaficha kitu gani? huyu mwanamke ni mtu wa ajabu na hatari sana, asiye huruma kabisa.
Sasa ameamua kutumia cheo chake kuwanufaisha anaowajali yeye, wala hatujali watanganyika alioapa kuwatumikia.
Huyu mtu anastahili kabisa kupelekwa mahakamani kwa kukiuka kiapo alichoapa, amegeuka msaliti wa wazi kabisa asiye na chembe ya aibu.
Sitaki kuamini siku hizi ndani ya nchi yetu kuna sehemu hatutakiwi kukanyaga, huku ni kuvunja sheria makusudi, halafu akiambiwa ukweli anasema ameziba masikio na kutafuta uadui na watu, huyu dikteta mwanamke ni balaa kabisa.
Wajue tu, vile wanavyozidi kuzuia watu wasiende Ngorongoro ndivyo ambavyo wengi watataka kujua wanachoficha huko, iko siku ukweli utafahamika.