Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

AKILI, TABIA na MWENENDO WAKE LAZIMA APIMWE KAMA ANATUMIA MIHADARATI AU LA!!!
 
mkuu hii kazi ya kipuuzi sana hata mimi ilisha nishinda. japo sina kazi ila sijawahi tamani kuwa njagu hata siku moja
 
Unajua kwa watu wa serikali wanavyomwogopa Magu hawaamini kama kuna mtanzania akawa na courage ya kumsema hadharani unless ugoro umemwongezea nguvu. Ndio maana inabidi Lissu wampime kama anatumia dona.
 
Na asipopimwa itaathiri mini?

try me
Nani alifanya uchochez akapimwa mkojo?
We (nna uhakika)ni kijana tumia ujana wako kushughulisha ubongo.

ndio kazi ya polisi kuchunguza kila wanacho kitilia mashaka..........
Sasa wanatilia mashaka mkojo wa Lissu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimesema watambandikia kesi mbaya sana!
Possible,

May Allah bless Me and You
 
Duh! Hapo umeniacha hoooiii!!!!
 
Reactions: SDG
Wamemshuku anatumia kilevi ndio maana anaropoka hivyo ni lazima wajiridhishe hakuna kosa kutuhumu au kushuku ni kazi ya polisi. Hata wafungwa waliopo gerezani walishukiwa kwanza.

Kuhusu kutoamini sample ya mkojo kama itabadilishwa ama ala ipo sheria ya kuomba uchunguzi wa haki zaidi Kwa mfano aombe sample zikapimwe Rwanda n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wafuasi wa chama chakavu mmeishiwa hoja mmebaki vihoja.poleni sana hii Tanzania mpya wananchi tunajitambua

Hivi wewe hiyo kadi ya chama ulinichukulia wewe? Nedna kanichukulie umpe Njiwa aniletee huku kijijini kwetu nilipo... mwambie mpelekee Cocochanel atanipata... umeona nakupita bado eeeeeh ka vile unanifahamu shaaaa
 
Mfano maneno gani aloyasema yanahusiana na kuhisi anatumia kilevi kwenye ile press?

May Allah bless Me and You
 
Aisee, kwa rafiki yake bwana yule!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…