Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Unapokua mwanasheria unatarajiwa ufuate sheria na si kuvunja sheria. Sheria ni sheria. Lisu anajua fika who is the owner of law, au labda somo la 'what is law' lilimpita pembeni ndo maana amekua mropokaji/mkurupukaji.

Kumbe sheria ni mali binafsi ya mtu, mkuu naomba nisaidie maana nilikiuwa sijui, Ni Nani mmiliki Wa Sheria??
 
Kupima mkojo kutasaidia kujua km ana.UTI. asijehukumiwa kumbe mgonjwa .hua inaathiri akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kila anapokamatwa huambiwa tunamkamata ili akanyee debe. Sijui ndio nini ssasa hiii????????
 
Upuuzi huu! mbunge wangu wakimfanyia ujinga tuko tayari kufa naye. naapa mbunge wangu akifanyiwa uhuni nitajitoa mhanga kufa na mhusika
I don't care who did it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…