Kwahio wakimkuta na UTI watamchukulia hatua gan?
Labda akikojoa tu kwenye chombo watachompa ndioitakuwa mwanzo wa saratani ya via vya uzazi na mchezo utakuwa umekwisha.Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Hv Lissu aliropoka??au alieleza anachoamini kama aliropoka jibu hoja kwa hoja sio ww uropokeUropokaji na ngada ni vitu vinavyoendana
Nchi ngumu nenda SyriaMkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Kwani ulevi watu wanajifunza utotoni?Nimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani