Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatoa "sample" ya damuKwahiyo wakifika watamuambia kojoa!!!!? Na akidai sijisikii kukojoa/sina mkojo.....what next!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu hizi harakati, alizianza tangu akiwa shuleni?Nimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani
Jamani!!! Uchochezi unahusiana nini na mkojoPolisi wamfikisha Tundu Lissu ofisi za Mkemia Mkuu kupimwa mkojo kabla ya kupelekwa nyumbani kwake kupekuliwa, Mkurugenzi Chadema amesema.
More to follow
Uropokaji na ngada ni vitu vinavyoendana
si bure hii, watakuwa wamemdunga sindano ya cocaine hao Mafioso...ili apatikane na hicho kiatili!Polisi wamfikisha Tundu Lissu ofisi za Mkemia Mkuu kupimwa mkojo kabla ya kupelekwa nyumbani kwake kupekuliwa, Mkurugenzi Chadema amesema.
More to follow
Mnaokoteza mashtaka!Huwezi kuwa na wenge kiasi hiko bila kutumia kitu cha Arusha
Msimbambikie tuNdio maana alitaka kumfungulia kesi Makonda!
Dah huu mtandao ni hatari sana
Ni kosa kutumia, sio kosa kukutwa umetumia!si bure hii, watakuwa wamemdunga sindano ya cocaine hao Mafioso...ili apatikane na hicho kiatili!
Nimewahi kukaa naye alikuwa anakunywa Tusker!Nimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani
Ajabu sanaMkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Hata Manji alibambikiwa?Msimbambikie tu
Ova
Mkojo unautoa mbele yao au unapewa faragha? Kama natumia nawapelekea Maji! Halafu uhakika mkojo utaopimwa ni wako utajuaje?Polisi wamfikisha Tundu Lissu ofisi za Mkemia Mkuu kupimwa mkojo kabla ya kupelekwa nyumbani kwake kupekuliwa, Mkurugenzi Chadema amesema.
More to follow