flayboy
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 175
- 95
Huyo siyo lisu mwenye arosto na dona zake. Huyo ni lisu genius yani mwanasheria mwenye vyeo vyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa amepatwa na tatizo la kiafya kaenda kupima.Nimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani
Watu wamepata pa kutokea hapo!!! sasa na wale wanaoshindwa kumjua Ngedere!! Hizi siasa za awamu hii............. Huko mbele Tanzania yetu itajiweka wapi na siasa zake kama nchi. KWA WA NJE WANAJIONEA SINEMA YA BUREDaaah kumbe zile kauli huwezi kuzitoa ukiwa mzima aisee!
Wanafikiri hayo majibu ya mkemia yataaminikaView attachment 547452
Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa Kituo cha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.
Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi likisema litaendelea kumshikilia hadi uchunguzi utakapokamilika.
Mbunge huyo wa Singida Mashariki amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akielekea Kigali, Rwanda kwenye kikao cha Halmashauri ya EALS kilichoanza jana.
"Kabla ya kuelekea nyumbani kwake Tegeta, wamempeleka kwa mkemia mkuu na ameshapimwa mkojo, sasa sijui ni kitu gani wanachunguza, kwa sasa wameshaelekea nyumbani kwake kwa ajili ya kumpekua,"amesema Mrema.
Licha ya kulala rumande hakuna aliyeruhusiwa kuingia na kumuona Tundu Lissu wakiwamo wanasheria wake. Mbali na Fatma, wengine waliokuwapo ni Peter Kibatala na Frederick Kihwelo.
More to follow
Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Kama anatumia dona basi kwisha kazi yake
[emoji16][emoji16][emoji16]uchochezi unapatikana kwenye mkojo?