wa mchangani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,418
- 951
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua alisahaulika kwa bahati mbaya tu kwenye ile list ya makonda.Uchochezi na mkojo wapi na wapi au wanahisi ana UTI !?!?
Hawa polisi sijui vipi aisee...
Hakuna lolote. Wanapoteza muda ili tu alale ndani leo. Jumatatu wanaanza tena abradakadabra zao. Sijui tumerogwa? Unakamatwa kwa uchochezi ila uchunguzi wa askari wetu sasa...unaanzia kwa mkemia mkuu kupimwa mkojo then kwako kupekuliwa. Huu ni "ulofa na upumbavu".
Inawezekana anachochea akiwa intoxicated. Who knows? Lazima apimwe.Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli
Uchochezi huleta uvunjifu wa amani. Uvunjifu wa amani hufukuza wawekezaji. Bila wawekezaji hakuna viwanda. Are we together?Kwa akili za kijinga namna hii ndio Tz ya viwanda itakuja kweli!!
amechochea nini? dotto siyo mjomba wa magufuli? wapinzani hawazuiliwi kufanya mikutano na ccm wakiendelea? wateule wa rais siyo wa kutoka kadna ya ziwa. never run from the truthUchochezi huleta uvunjifu wa amani. Uvunjifu wa amani hufukuza wawekezaji. Bila wawekezaji hakuna viwanda. Are we together?
Nimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani
Mkuu usinichekeshe,bora uwe police dog ulaya kuliko police man au woman uku bongoBaba alinishauri niwe polisi lkn nikaasema sitoweza mzee labda tuhame nchi ndio niwe polisi. Ninapokuwa ktk majukumu Mimi kufuata jambo kisa mkubwa amesema siwezi. Jeshi la polisi liache kujivunjia heshima ikiwa Hii habari ni ya kweli. Matokeo Yake ni kulidharaulisha jeshi zima.
Nyinyi ccm ndio maana Lisu anawagaragaza apendavyo mahakamani, swali wewe umewahi kumuona Tundu Lisu akinywa bia?Kuna picha akiwa anaburudika na warembo "bia"
Explain the so called invasion of privacy you are referring to.Shame! Invasion of privacy. Sijui nchi inapoelekea.
Kachochea nini na nani kamchochea?Uchochezi huleta uvunjifu wa amani. Uvunjifu wa amani hufukuza wawekezaji. Bila wawekezaji hakuna viwanda. Are we together?
Endelea kushabikia tu. Mwisho tutalia sote-excess of tyranny are well documented.Explain the so called invasion of privacy you are referring to.