MESOYA
Senior Member
- Aug 19, 2014
- 150
- 168
Kwamba ndio wamtengenezee zengwe la madawa ya kulevya au ! Ebu wasimamie haki na kuacha siasa za kukomoana na kudhuliana.
Aidha watwana wafute kabisa mfumo wa vyama vingi nchini ili kuepuka uwepo wa mgongano wa mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aidha watwana wafute kabisa mfumo wa vyama vingi nchini ili kuepuka uwepo wa mgongano wa mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app