Tonic water
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 219
- 99
Mkojo una acid ndiyo unamfanya awe mchochezi, hii ndiyo bongo bhana tusubiri matokeo ya vipimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchochezi huleta uvunjifu wa amani. Uvunjifu wa amani hufukuza wawekezaji. Bila wawekezaji hakuna viwanda. Are we together?
amemchochea nani! Na aliyechochewa amefanya nini?Uchochezi huleta uvunjifu wa amani. Uvunjifu wa amani hufukuza wawekezaji. Bila wawekezaji hakuna viwanda. Are we together?
Uchochezi unaweza kuwa umesababishwa na ulevi!simple and clearOkay subiri waje wataalamu wa biology na sheria wanaoweza kuhusisha tuhuma za uchochezi na mkojo.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 547452
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa ha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.
Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi likisema litaendelea kumshikilia hadi uchunguzi utakapokamilika.
Mbunge huyo wa Singida Mashariki amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akielekea Kigali, Rwanda kwenye kikao cha Halmashauri ya EALS kilichoanza jana.
"Kabla ya kuelekea nyumbani kwake Tegeta, wamempeleka kwa mkemia mkuu na ameshapimwa mkojo, sasa sijui ni kitu gani wanachunguza, kwa sasa wameshaelekea nyumbani kwake kwa ajili ya kumpekua,"amesema Mrema.
Licha ya kulala rumande hakuna aliyeruhusiwa kuingia na kumuona Tundu Lissu wakiwamo wanasheria wake. Mbali na Fatma, wengine waliokuwapo ni Peter Kibatala na Frederick Kihwelo.
-------------
UPDATE 1
Mapema kabla,Lissu alipitishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali,alikataa kupimwa mkojo kwa sababu kipimo hicho hakihusiani na tuhuma za uchochezi.
More to follow
Kwa hiyo kesi zote zilizopita kwa mkemia mkuu zilikuwa ni za kubambikia?Wanataka kumbambikia kesi ya unga kwani mikemia mkuu si Mungu ni binadamu anayepikea Amri toka juu kama wengine huu utawala wa kumbambikia kesi na visasi
Huwezi kuropoka wakati wewe ni kiongozi kama haupo High!
mwenye akili timamu hawezi kuwa mchocheziElimu elimu elimu, sasa uchochezi unapatikana kwenye mikojo? Au vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumuacha MTU salama[emoji1] [emoji1]
Inji hii(kwa sauti ya lyatonga)
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye akili timamu tuko wachache sana nchi hii kama vijana wanafikiria kama weweDaaah kumbe zile kauli huwezi kuzitoa ukiwa mzima aisee!
mbona hamkuleta hiyo update ya kudungwa sindano?Washamdunga sindano za madawa halafu wampe kesi ya kutumia madawa ya kulevya sio?
Kwani ngada huwa inatafuniwa hadharani?Nimesoma na Tundu Lissu sikuwahi muona hata akionja pombe labda kama kajifunza ukubwani