Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Mkojo una acid ndiyo unamfanya awe mchochezi, hii ndiyo bongo bhana tusubiri matokeo ya vipimo.
 
Akiweka maji watajuaje kama ni maji au mkojo.. Au unatoa dushe mbele yao?
 
Wanataka kumbambikia kesi ya unga kwani mikemia mkuu si Mungu ni binadamu anayepikea Amri toka juu kama wengine huu utawala wa kumbambikia kesi na visasi
 
Wanataka kumbambikia kesi ya unga kwani mikemia mkuu si Mungu ni binadamu anayepikea Amri toka juu kama wengine huu utawala wa kumbambikia kesi na visasi
Kwa hiyo kesi zote zilizopita kwa mkemia mkuu zilikuwa ni za kubambikia?
 
Elimu elimu elimu, sasa uchochezi unapatikana kwenye mikojo? Au vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumuacha MTU salama[emoji1] [emoji1]
Inji hii(kwa sauti ya lyatonga)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhe. Tundu Lissu akataa Kupimwa mkojo baada ya kifikishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kwani kipimo hicho hakihusiani kabisa na tuhuma za uchochezi zinazomkabili
 
walimchokonoa mbowe weee, naona kawakalia kimya wakadhani jamaa atakuja juu, wameona hapana wacha waje kwa huyu
 
Mh. Lissu akataa kupimwa mkojo baada ya kufikishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kwani kipimo hicho hakihusiani kabisa na tuhuma za uchochezi zinazomkabili.

Na kuhusu upekuzi mpaka sasa bado unaendelea na karibia wanafika mwisho na Rais wa TLS yuko katika hali mzuri kabisa (kwa mujibu wa mkewe).

Tuzidi kumwombea na kumtia nguvu.

My take: Hivi jamani hawa watu wako vizuri kabisa kichwan? Sasa wanataka wampime mkojo for what?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…