Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

wanawake wenyewe wa mikorogo hawa, kah! ndio nigombane na mwanaume mwenzangu nilishaikataa hii
Ni hivi, hawa vijana kinachowakuta ni laana, huwa wanatumika kuua na kuteka watu, sasa zile Dua za ndugu wa Marehemu (KURJUAN) ndio zinasababisha anakamatwa kibwege kwa kugombania demu mchafu.

Wengi wao ukiacha kujua kuteka na kuua ni Washamba sana wa mambo mengi mno!

unagombea demu club wakati midemu imejaa kila kona!
 
Porojo tu hz, huyo hafanywi kitu, kwanza inawwzekana hata sasa hv ameishapewa likizo, yupo Nairobi, kama tukio la afande na binti kubakwa, Yule afande hajafanywa kitu, hapo hakuna kitu, the goose is already cooked
 
wanawake wenyewe wa mikorogo hawa, kah! ndio nigombane na mwanaume mwenzangu nilishaikataa hii
Derick unagombea mwanamke wa kilabuni kwa bastola.umemkuta kilabuni.yaani unataka kumuua mwenzio kwaajili ya mwanamke wa kilabuni? Ukizubaa SHETANI huwa anaondoka na fikra zote.saa hizi ndiyo amemrudishia Derick fikra zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…