Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wanazuiwa kufanya hata yaliyo halali kao?Upinzani wa bongo|Tanzania bwana!.
Ukiachiwa huru|ukipewa haki yako uongozi unakua umelegea..Haha.
Sawa,Endeleeni kuvunja sheria tu kwa kutafuta political violence.
Itafika mahali itabidi kila mtu mwenye madaraka atimize wajibu wake ipasavyo.
ccm ya sasa imejaa wajinga watupu matendo yao ni kama wapo boarding school wana visa visa figisu figisu za kijinga jinga nyingi bila kikomo
06 October 2020
Mlandizi, Pwani
Tanzania
#LIVE TUNDU LISSU ANAENDESHA KIKAO CHA NDANI MUDA HUU MLANDIZI
38,129 views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu akitekeleza majukumu ya shughuli za chama Kibaha Vijijini ktk mji mdogo wa Mlandizi kama alivyopangiwa na Kamati Kuu ya CHADEMA
Inawezekana umeandika kitu usichokijua ila maboss wako wanakijua ndo maana wanatumia nguvu kubwa sana kumdhibitiKuanzia saa nane mpaka usiku? Nafikiri kama akili zake zinafanya kazi,atakuwa amegundua kuwa swala la kuwaingiza watz barabarani haliwezi kuwa jepesi kama alivyokuwa analichukulia.
Kwamba wakiingia ndo zitaisha au🤔?Kinachowaingiza wananchi barabaran ni shida zao wala sio Tundu lissu.
Hakuna nisichokijua kihusu CCM na serikali, kungekuwa na kitu cha maana ningekuwa najua tayari.Inawezekana umeandika kitu usichokijua ila maboss wako wanakijua ndo maana wanatumia nguvu kubwa sana kumdhibiti
Jana CCM na Polisi wamemsaidia sana Mhe. Tundu Lissu kumfanyia Kampeni tokea Kiluvya kwenda kwa Watanzania na Dunia nzima!!TAL ni jasiri. Jioni ya jana nilizungukia vijiwe kadhaa vikiwepo vya CCM,, kuzuiwa kwa TAL ndo habari kuu...
Ulikuwa unazungukia vijiwe badala ya kwenda kukinukisha?TAL ni jasiri. Jioni ya jana nilizungukia vijiwe kadhaa vikiwepo vya CCM,, kuzuiwa kwa TAL ndo habari kuu...
Wale machoko waliomfungia huyu jamaa kufanya kampeni, wana feel aje wakiona jina la Tundu bado lina trend mitandaoni kumzidi hata mume wao Yohana ?06 October 2020
Mlandizi, Pwani
Tanzania
#LIVE TUNDU LISSU ANAENDESHA KIKAO CHA NDANI MUDA HUU MLANDIZI
38,129 views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu akitekeleza majukumu ya shughuli za chama Kibaha Vijijini ktk mji mdogo wa Mlandizi kama alivyopangiwa na Kamati Kuu ya CHADEMA
Ccm wana ule ubabe wa form two kwa form one, yaani they lead their lives kama watoto hivi.ccm ya sasa imejaa wajinga watupu matendo yao ni kama wapo boarding school wana visa visa figisu figisu za kijinga jinga nyingi bila kikomo
Binadamu siko zote uhitaji mabadiriko sasa unapomlazimisha abaki katka hali ileile jua unatafta matatizo na unaowaongozaKwamba wakiingia ndo zitaisha au🤔?
sio wote tunaishi Dar mkuu. TAL amepenya kila sehemu,,kama hewa ya OxygenUlikuwa unazungukia vijiwe badala ya kwenda kukinukisha?
Ndo nakuuliza Sasa,raia wakiingia barabarani ndo watapata maendeleo?Binadamu siko zote uhitaji mabadiriko sasa unapomlazimisha abaki katka hali ileile jua unatafta matatizo na unaowaongoza
Unataka kusema maendeleo yapo vyumbani ili tubaki humo kuyasubiri?Ndo nakuuliza Sasa,raia wakiingia barabarani ndo watapata maendeleo?
Hapana,yafateni barabarani.Unataka kusema maendeleo yapo vyumbani ili tubaki humo kuyasubiri?