Uchaguzi 2020 Polisi waondoa kizuizi alichowekewa Tundu Lissu Kiluvya. Asema anaendelea na safari yake

Uchaguzi 2020 Polisi waondoa kizuizi alichowekewa Tundu Lissu Kiluvya. Asema anaendelea na safari yake

Polisi walimpigia kampeni Lissu jana siku nzima wangemuacha hata watanzania wengi wasingejuwa hata ameenda mlandizi
 
Madaraka yafaa tufuate sheria, sababu hakuna madaraka yasiyo fuata sheria usipofuata sheria ukiwa madarakani basi utakuwa unaleta uhuni, usitumie madaraka kukandamiza wengine bila kufuata sheria na taratibu, shida ni moja walio na madaraka hawataki fuata sheria ambazo wamezitunga wao wenyewe, hilo ndilo gonjwa kuu la viongozi wa afrika, na cha ajabu pana wapuuzi uunga mkono tabia hii, Mimi naamini ukiona mtu mpuuzi basi atatuletea kizazi cha kipuuzi pia, sababu embe halianguki mbali na mti wake.
Absolutely true!!

Aliye madarakani anatakiwa afanye mambo tu ambayo sheria inamtaka afanye(kwa Mujibu wa sheria).

Lakini,pia upande wa ambaye hayupo madarakani basi inambidi afanye yote isipokuwa yale yaliyokatazwa kisheria.

Imani Yangu endapo ikitokea both aliye madarakani na asiye madarakani akatimiza wajibu ipasavyo sidhani kama kuna kitu kibaya kitatokea.

Sometimes tunayataka wenyewe kufanyiwa vibaya na wenye madaraka.
 
Back
Top Bottom