Kweli wake za watu watamu alafu no longo longoKuna mmoja alilieta mazoea nikapiga nikasepa. Nikamchunia mpk leo na sijawahi kumtafuta huu ni mwaka sasa. Sitaki mazoea na wake za watu kabisa. Hawa kukua ni dakika 1 tu ushakufa.
Wake za watu siyo poa ila kutoa mbususu huwa hawajivungi na hubaniwi.
Mkihaidiana muda wa kupiga show, ni show siyo wale umpe nauli , umnunulie chips na umwagie nje
TafsidaAlikuwa anatembea nae kuelekea wapi? Kiswahili kigumu sana
Mpaka watoto!Acheni wake za watu. Ila kakosea sana kuua wasiohusika
Heee,jihadharini na ma taahira..Jeshi la polisi mkoani Kigoma linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji ya watu sita (baadaye alifariki Mtoto hivyo idadi ya vifo kufika7) bwana Peter Morris (33) wakati upepelezi ukiendelea
Bado zamu yakoKuna watu ni wajinga sana. Sasa wivu wako wa mapenzi ndiyo ukaue watu wasio na hatia!
Sheria ifuate mkondo wake.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Na hapo katembea nae tu kapata hilo pigo je Angekimbia nae si wangekufa Waha wote[emoji848]
Ni katili mnooo [emoji22][emoji22]Jamaa ako na roho mbaya aisee, unaua watu saba peke yako!!
acha ujinga basi.Hizi taarifa za awali siziamini,kama ni polisi ndio wanasema hivi kuna walakini hapa,wameshindwa kufanya kazi wanakuja na taarifa za awali ili baadae ndio iwe imetoka hio.
Mtu unahisi anatembea na mkeo ndio uue familia nzima hadi watoto wadogo?halafu haohao polisi walisema waliofanya mauaji hayo sio mtu mmja,kuna shida hapa
Labda aliwapulizia dawa ya usingizi.....Bado najiuliza aliwezaje kuua watu sita peke yake ktk vyumba tofauti
Ni fundisho kwa wengine, Eshim wake za watu kama unaipenda familia yako.Ni katili mnooo [emoji22][emoji22]
[emoji23][emoji23][emoji23]unataka mke wako aheshimiwe we hujiulizi kwanini hakuheshimu wewe....Ni fundisho kwa wengine, Eshim wake za watu kama unaipenda familia yako.