Polisi wasema wivu wa mapenzi chanzo mauaji ya watu 7 wa familia moja Kigoma

Kweli wake za watu watamu alafu no longo longo
 
Nasisitiza tena msaliti hapiganiwi.. mwanamke msaliti ni msaliti tu leo umeuwa huyu mwakani anamegwa na mwingine utamaliza kijiji kwa kumpigania mwizi suluhisho ni kudeal na huyo msaliti Ova...
 
yote haya yangeupukika kama jamaa asinge oa

Kataa ndoa
Ndoa ni kifo
 
acha ujinga basi.
 
Duuuuuuuuuuuuuu,huu ni zaidi ya wivu wa mapenzi,ni ushenzi uliopitiliza,wivu wa mapenzi uteketeze familia yoteee?
,hapa aiseeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…