Polisi wasema wivu wa mapenzi chanzo mauaji ya watu 7 wa familia moja Kigoma

Polisi wasema wivu wa mapenzi chanzo mauaji ya watu 7 wa familia moja Kigoma

hivi inakuwaje mtu mmoja aweze kuua watu wote hao bila msaada?? ila kama kweli ni mapenzi jamaa huyu anyongwee hadharanii watu waanze kutumia akilii kufanya maamuzi kwenye migogoro ya mapenzi... lakini pia nahisi ni mambo ya dhurumaa aisee maana duuh sio kwa huu unyamaa.
Mpuuzi kama huyu atakaa jela hadi anakufa akila kodi zetu tu,
Kama hajasingiziwa, ilitakiwa abanikwe akiwa hai, kumbafu kabisa
 
Wapuuzi nchi hii Kwa Sasa wako wengi wala sishangai. Kama Mtu alimuua Mtoto wa jirani kisa kamchumgulia anakunya kichakani utashangaa hili la ugoni? Baki Peke yako usiyeamini.
Du! Wapi huko mkuu? Unamtoa mtoto uhai, kisa amekuona ukikata gogo, ni zaidi ya unyama,
 
Cha kushangaza mpk leo mtu aliyempiga risasi Tundu Lissu hajapatikana.
Hii nchi ina mazigaombwe sana
Mi kilichonipa moyo katika hili sakata ni intelligensia ya wapelelezi. Naombeni niwape kongole.

Huwa nasifia sana usalama wa taifa la nchi yangu kwasababu nyingi tu. Ndani ya siku tatu kumjua muuaji kwakweli ni kitu cha kushukuru. Mauaji yameniuma mno.

Huyu sasa kazi ibaki mahakamani kwenye swala la upelelezi haujakamilika huko ndo kunachosha. Lakini kitendo cha kuua hadi bibi na wale watoto kisa kosa la mtu mmoja kimeniuma mno.

Haki itendeke
 
Wapuuzi nchi hii Kwa Sasa wako wengi wala sishangai. Kama Mtu alimuua Mtoto wa jirani kisa kamchumgulia anakunya kichakani utashangaa hili la ugoni? Baki Peke yako usiyeamini.
We unajuaje nipo pekeyangu nisiyeamini?Polisi hawa hawaaminiki popote lazima kauli kauli zao uzitafakari sio wa kuwaamini kirahisi
 
Shida inaanzia pale. "Nitakuonyesha, wewe si unajifanya mjanja"
Kugongewa kuna uma sana zaidi ya msiba ndiyo maana kila mmoja anatoa maamuzi tofauti
1. Mwingine anajiua mwenyewe
2. Mwingine anamuacha
3. Mwingine anamsamehe wanarudiana
4. Mwingine hamuachi ila vitimbi vyake naye anaanza kutoka nje
5. Mwingine anamuua mkewe kwa kumpiga risasi au kumchoma na gunia la mkaa
6. Mwingine anakutafuta anakupiga mashine (wanakulawiti)
Tukishaoa, tutulie na familia zetu. Ona sasa ngono inaondoa familia yake yote.
Mpaka kufika hapo, nahisi jamaa alikanywa sana ila akawa kiburi. Ndiyo matokeo yake hayo
Acheni wake za watu. Ila kakosea sana kuua wasiohusika
 
Shida inaanzia pale. "Nitakuonyesha, wewe si unajifanya mjanja"
Kugongewa kuna uma sana zaidi ya msiba ndiyo maana kila mmoja anatoa maamuzi tofauti
1. Mwingine anajiua mwenyewe
2. Mwingine anamuacha
3. Mwingine anamsamehe wanarudiana
4. Mwingine hamuachi ila vitimbi vyake naye anaanza kutoka nje
5. Mwingine anamuua mkewe kwa kumpiga risasi au kumchoma na gunia la mkaa
6. Mwingine anakutafuta anakupiga mashine (wanakulawiti)
Tukishaoa, tutulie na familia zetu. Ona sasa ngono inaondoa familia yake yote.
Mpaka kufika hapo, nahisi jamaa alikanywa sana ila akawa viburi. Ndiyo matokeo yake hayo
Wanaleta ulijali kwenye wake za watu af wanakua na vbur na dharau sasa uyo ni Specimen prac ndo hiyo.
 
Waganga wa kienyeji mnafeli sana, mnatakiwa muwe mnachukua dili kama hizi, huyu jamaa mngemsaidia kumfanyia hii kazi kwa zile bluetooth zenu, malipo baada ya kazi, usipolipwa unammaliza aliyekupa kazi.
 
Jifunze kutoa hoja wewe
hoja huwekwa palipo na hoja.

taarifa za kuuwawa watu 7 umezipata polisi.
njia iliyotumika umesikia kwa polisi hao hao.
unakuja kuambiwa sababu eti"chiamini polichi".
 
Hivi huko kusema tunaenaendelea na uchunguzi wakati muhusika amekiri mwenyewe huwa wanachunguza nini hasaa? Wanampima kipimo kikubwa cha damu cha muuaji au?
 
Back
Top Bottom