Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana pia.... Da!!! Mbususu hiziLabda aliwapulizia dawa ya usingizi.....
Jibu lako ni Missed call 40 Chuma[emoji95] Heshma hailazmishwi ila ukikosa heshima unakula adhabu.[emoji23][emoji23][emoji23]unataka mke wako aheshimiwe we hujiulizi kwanini hakuheshimu wewe....
sasa chuma alafu bado tena unaigeuzia kwako mkuu yani unajiadhibu kwa kosa la mke wako....Jibu lako ni Missed call 40 Chuma[emoji95] Heshma hailazmishwi ila ukikosa heshima unakula adhabu.
Kaz kazi, Serkali kichwani. Chepuka uchapike.hivi inakuwaje mtu mmoja aweze kuua watu wote hao bila msaada?? ila kama kweli ni mapenzi jamaa huyu anyongwee hadharanii watu waanze kutumia akilii kufanya maamuzi kwenye migogoro ya mapenzi... lakini pia nahisi ni mambo ya dhurumaa aisee maana duuh sio kwa huu unyamaa.
aaha hatari aiseeeKaz kazi, Serkali kichwani. Chepuka uchapike.
Wapuuzi nchi hii Kwa Sasa wako wengi wala sishangai. Kama Mtu alimuua Mtoto wa jirani kisa kamchumgulia anakunya kichakani utashangaa hili la ugoni? Baki Peke yako usiyeamini.Hizi taarifa za awali siziamini,kama ni polisi ndio wanasema hivi kuna walakini hapa,wameshindwa kufanya kazi wanakuja na taarifa za awali ili baadae ndio iwe imetoka hio.
Mtu unahisi anatembea na mkeo ndio uue familia nzima hadi watoto wadogo?halafu haohao polisi walisema waliofanya mauaji hayo sio mtu mmja,kuna shida hapa
Uyo wa kujgeuzia chuma achana nae hana akili.sasa chuma alafu bado tena unaigeuzia kwako mkuu yani unajiadhibu kwa kosa la mke wako....
Zhen de ma, na ge xingwei bu tai hao!Kuna mmoja alilieta mazoea nikapiga nikasepa. Nikamchunia mpk leo na sijawahi kumtafuta huu ni mwaka sasa. Sitaki mazoea na wake za watu kabisa. Hawa kukua ni dakika 1 tu ushakufa.
Wake za watu siyo poa ila kutoa mbususu huwa hawajivungi na hubaniwi. Mkihaidiana muda wa kupiga show, ni show siyo wale umpe nauli , umnunulie chips na umwagie nje
pigo ni moja tu hapo huyo nyumbu msaliti katilia mbali.Uyo wa kujgeuzia chuma achana nae hana akili.
Sema huyu wa kigoma alimsahau mtu wa 8 Mkewe nae alipaswa aungane na familia ya Mchepuko uko Ahela.
Waambieni wake zetu waridhike nanyi....wavitulizeNi fundisho kwa wengine, Eshim wake za watu kama unaipenda familia yako.
Damu nzito ndugu mtu huwa anaweweseka peke yake.Mi kilichonipa moyo katika hili sakata ni intelligensia ya wapelelezi. Naombeni niwape kongole.
Huwa nasifia sana usalama wa taifa la nchi yangu kwasababu nyingi tu. Ndani ya siku tatu kumjua muuaji kwakweli ni kitu cha kushukuru. Mauaji yameniuma mno.
Huyu sasa kazi ibaki mahakamani kwenye swala la upelelezi haujakamilika huko ndo kunachosha. Lakini kitendo cha kuua hadi bibi na wale watoto kisa kosa la mtu mmoja kimeniuma mno.
Haki itendeke
Na iwe. Inatesa jamani yani familia nzima? Utasema anachinja kuku. Not fairDamu nzito ndugu mtu huwa anaweweseka peke yake.
[emoji28][emoji28][emoji28]yote haya yangeupukika kama jamaa asinge oa
Kataa ndoa
Ndoa ni kifo