Polisi watatu wafungwa miaka 20 jela kwa Rushwa

Sasa hapo Magufuli anahusikaje? Au una chuki yako binafsi naye?
 
Chuki ni ugonjwa mbaya sana,umewatia vipofu watu wanao mchukia Magufuli, kila baya wao wanamsingizia Marehemu Magufuli! Mungu awasamehe bure tu!!
 

Mboba inaonekana uliyekurupuka ni wewe?

Usiwe unakimbilia ku-comment bila ya kusoma vizuri na kuelewa. Rudia tena kusoma mada, halafu urekebishe comment yako iliyolalia kwenye maelezo ya kutoielewa mada.


"Kosa lao hilo la matumizi mabaya ya madaraka walilifanya tarehe 19 March 2021 walipokwenda ....".

Tarehe 21 umeitoa wapi?

"Askari hawa walikuwa wakifanya mambo aliyokuwa anayependa Magufuli kipindi chake ."

Wapi mleta mada amesema hao askari walikuwa wametumwa na Magufuli? Tabia ikijengeka kipindi fulani, kwa uelewa wako, huwa inakufa ghafla?
 
Yanatabia ya kuridhisha hisia zao kuliko Akili.
 
Magufuli amefariki tarehe 17 March 2021 kosa limefanyika Tarehe 19 March 2021 pia Taarifa inatoka KANDA iliyomchukia Hayati maana yake nini Chuki ni mbaya sana kikomaa hufakaranisha umoja wa kitaifa.Tuacheni chuki sisi sote ni Watanzania.
Mzee alikuwa jembe kweli kweli,ila alikuwa katili mno,na alipenda kuzungukwa na watu wenye tabia za kikatili kama makonda na sabaya,Mungu amweke popote atakapoona inafaa,Amen
 


Kweli mnamkosea Magufuli wa watu, walimpelekea hizo hela? Sijawahi mpenda magufuli, ila hao wnafungwa kwa tamaa zao.
 
Mbona kiongozi wao mkuu eskariot sabaya wamemuachia?. Kweli wasiokuwa nacho hawana haki
 
Kubambikiana kesi kupo toka hata Magu hajawa Rais, nakumbuka kipindi cha Jakaya,watu walikua wanawekewa viungo vya albino uwani kwao,alafu ghafla police eti wanakuja na wanataka kupekua nyumba,na walivyokua wajinga wakiingia ndani tu,wao hao moja kwa moja kwenye mtego wao waliotega na kuibua kizibiti, na hapo ndiyo sasa maongezi ya pesa yanaanza! Kuna police wengine Mungu atawaazibu vibaya sana kutokana na matendo yao!!
 
Sasa hizo hela zake mahakama inasemaje ? Itamke alipwe na serikalii au inakuwaje
Hela alishakula Sabaya na genge lake hapo maskini polisi waliambulia hata million moja moja labda na kuhaidiwa vyeo, ona leo kazi hawana na wake zao wanaenda kuchapwa mshededee na wanaume wengine kuwatoa genyee
 
Chuki ni ugonjwa mbaya sana,umewatia vipofu watu wanao mchukia Magufuli, kila baya wao wanamsingizia Marehemu Magufuli! Mungu awasamehe bure tu!!
Acha ujinga,mbona bwawa la umeme na sgr tunasema ni kazi ya magufuli hadi leo wakati yeye ameshakufa kitambo? Magufuli ndiye aliyeweka misingi ya ukatili uliokuwepo na unaoendelea hata sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…