Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kama hujayajua madhumuni kwa kipindi chote yalipo anza kutangazwa basi wewe tulia nyumbaniNaomba mtu anisaidie kunielezea dhumuni ya hayo maandamano na faida yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujayajua madhumuni kwa kipindi chote yalipo anza kutangazwa basi wewe tulia nyumbaniNaomba mtu anisaidie kunielezea dhumuni ya hayo maandamano na faida yake.
AminiaHapo safi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🪑[emoji575]
Mungu azidi kukupa maisha marefuKatiba ndiyo inaruhusu taratibu zilizowekwa, anaezuia kilichoandikwa kwenye katiba tunamlaani kuacha kuvunja katiba alichoapa kukilinda...Mkikosa hoja mnaanza kuokoteza vioja
Mkuu kwa wenzetu walio vizuri kwa demokrasia maandamano ni kufikisha ujumbe hivyo hata wakiwa watu 10 tu wanatosha.Tatizo Watanzania wengi wanafiki hawatajitokeza kabisa.
Ila kwa uhakika yatakiwa wajitokeze wengi kupeleka ujumbe kuwa maisha hayako sawa
Bado ipo inaendelea kuzalisha mabumunda ipo pale LumumbaHuu ndio ujinga uliokujaa kichwani? Shule yenu ya ujinga mmeshaifungua au imefungwa?
Watanzania wengi wanashindwa kuona correlation kati ya maisha yao na siasa. Wengi wanadhani shida, raha, kipato majanga na kila kitu cha maisha yao ni mapenzi ya Mungu. Ni hivi: hata kama hawatajitokeza wengi lakini bado ni mwanzo mzuri. Yakifanyika na kumalizika kwa amani basi yatakuwa chachu nzuri sana kwa siku zijazo. Kupigania haki huchukuwa muda mara na majaribio mengi hasa kwa nchi yenye wananchi kama watanzania.Tatizo Watanzania wengi wanafiki hawatajitokeza kabisa.
Ila kwa uhakika yatakiwa wajitokeze wengi kupeleka ujumbe kuwa maisha hayako sawa
Hadi sasa ni Maandamano 2 Chalamila 0gooooooooo
Nenda utakuta mealekezo yote ndo maana wakatoa kibaliNaomba mtu anisaidie kunielezea dhumuni ya hayo maandamano na faida yake.
Kama hujayajua madhumuni kwa kipindi chote yalipo anza kutangazwa basi wewe tulia nyumbani
Asante kwa majibu ya Good evening!Nenda utakuta mealekezo yote ndo maana wakatoa kibali
Chalamila alisema jeshi litafanya usafi, kosa lake ni lipi hapoChalamila ndio takataka sasa
Lucas anamalizia kuandika uzi wa kumsifia mama kwa hili 😂Lucas mwashambwa karibu kwenye maandamano ya amani tarehe 24/01/2024
Kwani wewe ni mchepuko wa Mbowe, nawe ulitaka kuliwa goli ngapi?Kwa furaha ya mbowe leo lazima amle bao 5 mke wake Erythrocyte