Manuscript
Member
- Jun 5, 2016
- 42
- 27
Labda kama hizo laana anazitoa Mbowe.Ulaaniwe milele
Mahafali yanahitaji kibali?Hongera polisi ili amani isivurugike.
Kwa sababu hajiamini, kumbe alipata %ndogo sana kwenye uchaguzi Wa Rais sasa anajua fika alivyopitaKwa nini serikqli ya magufuli inaogopa kimvuli chake
Kipi kinachokufurahisha ulitaka kumwagika kwa damuHahaha kuna watu walikuwa wanasema watu KLM siyo kama Dodoma, haya sasa askari wetu hao onyesheni U- KLM wenu!
Akili yako haina tofauti na ya kuku,(tena kuku aweza kuwa na afadhali)Serikali ipige marufuku na kuweka kanuni ngumu kwa Vyuo husika kutokukubali matawi ya Siasa Vyuoni kuanzishwa na Wanachuo wasijihusishe na siasa kabisa na ikigundulika wafukuzwe chuo. Hii italeta discipline na watazingatia masomo tu. Police Hongereni na msiwachekee hao nia yao ni kuivuruga jamii kwa kuichonganisha na Serikali waliyoichagua wenyewe. VYAMA VYA SIASA ZINGATIENI MAKATAZO MBALIMBALI MNAYOPEWA NA POLICE
Ulaaniwe nasema kwa jina la HAKILabda kama hizo laana anazitoa Mbowe.
Hatari sanaMkuu hata hapa chuoni wamefika, wameingia chuoni Mwenge, wamezunguka ndani tunawaangalia tu maana wanafunzi wengi hawakuwepo, wamekaa kama dakika ishirini hivi wakaenda zao, Yaani nimeshindwa hata kuelewa tunakoelekea siko sasa.
Sikushangai , maana 0.2 KB inakuhusuHaya nenda kachukue buku 2 lumumba
Kachukue kabla ofisi hazijafungwa maana leo ni weekendSikushangai , maana 0.2 KB inakuhusu
Wewe ndio unajificha hapo lumumbaSasa wewe uwanja wako wa mapambano ni JF kama kweli huogopi kufa ingia barabarani siyo unapost ujinga huku umejificha na TECNO yako chumbani.
Wewe ndio unajificha hapo lumumbaSasa wewe uwanja wako wa mapambano ni JF kama kweli huogopi kufa ingia barabarani siyo unapost ujinga huku umejificha na TECNO yako chumbani.
Wewe nani?Hivi chaso ni chuo?Mikutano ya siasa haitoruhusiwa..
Ni mhaya aliyekufa rohoWewe nani?
Mkuu huyu mleta mada mmoja anaitwa Barbarosa ni zaidi ya mfitina, nafikiri si mtanzania kwao ni gisenyiNaona kwa mbaaali ukweli wa maneno haya.... Tazama ziara za kwanza, Rwanda na Uganda.. Utapata maono ya hatari tuliyonayo... Hebu tujiulize...., kwani marehemu Mch Mtikila alikuwa mjinga kusema pia Mkapa nae si wa hapa....? [emoji32]
Watanzania wasomi tutafakari sana wapi nchi yetu inapelekwa...