Ushauri mzuri sana huu...pia unaweza kuongezea hivi. Akipatikana mzazi analea kijana muhalifu huku akijua basi mzazi na mtoto ni wahalifu,hapo kila mzazi angetoa taarifa ya vijana wao wakorofi
Aliyeondolea nguvu jamii kulea watoto kwa ushirikiano kasababisha ongezeko la kila uharibifu na uhalifu.
Enzi zetu una misbehave huko unalambwa mboko za kukupanga, na ukirud home mzaz akajua unaongezewa. Leo hii ukimkanya mtoto wa mtu unapokea bonge la tusi. Ukijichanganya na mzaz anaibuka kukusweka ndan! Hadi walimu inawakuta, walezi wetu tegemezi!
Sion wazaz wanaoleta watoto watukutu polis wala kwa mtendaj.
Mbaya zaid kuna mizaz nayo haikubari nafas zao kiumri inashirikiana na watoto uhuni, wizi, uzinzi, pombe hadi madawa ya kulevya. Lizee halitak hata shikamoo ya binti mdogo liko busy timing!
Kibaya zaid mlezi muhim sana, yan mwalimu shulen, anapogeuka PREDATOR!
Umaskin nao unawaondolea misimamo.
Hakuna social responsibility.
Hizi sera na sheria nyingine kupitia mwavuli wa haki za binadam tuzipe kanuni za kiuafrica. Inawezekana tunaua jamii yetu baada ya muda flan. Sijawai kuwaamin wazungu!
Mf ni sheria ya mwl kutompiga kiboko mwanafunz bila mbinu halis za detterence