Polisi wenye silaha na mafunzo wameshindwa na Panya Road. Je, mwananchi ataweza?

Polisi wenye silaha na mafunzo wameshindwa na Panya Road. Je, mwananchi ataweza?

Unazidi kukoroga. Ungekuwa unazungumzia mzizi wa tatizo kweli kweli ni lazima ungeona tatizo ni serikali imeshindwa kukidhi malengo ya uongozi. Nenda nchi zilizoendelea. Kiwango cha uhalifu wa namna hii kiko chini sana. Kwa nini? serikali zinakidhi malengo ya wananchi na siyo kwamba wazazi wa watoto huko wanajua zaidi kulea. Hata huko Oysterbay ulikosema siyo kweli kwamba wazazi wanajua zaidi kulea watoto bali ni uwezo wa wazazi kukidhi malengo ya watoto wao. Huko ''uswazi'' maisha yako rough kwa sababu ya kipato. Mtoto wa Masaki akimaliza darasa la saba anapelekwa shule, uswazi wazazi hawana namna, watoto wanalundika mitaani bila ajira wala kipato huku njaa inawaadhibu. Wataacha kuwa panya road? Hawana cha kupoteza.

Hakuna nchi isiyo na uhalifu Mkuu.

Niambie nchi gani hiyo ukienda hakuna uhalifu?

Vikundi vya kihuni vipo nchi karibia zote Duniani, hata hizo nchi kubwa unazozijua.
 
Unazidi kukoroga. Ungekuwa unazungumzia mzizi wa tatizo kweli kweli ni lazima ungeona tatizo ni serikali imeshindwa kukidhi malengo ya uongozi. Nenda nchi zilizoendelea. Kiwango cha uhalifu wa namna hii kiko chini sana. Kwa nini? serikali zinakidhi malengo ya wananchi na siyo kwamba wazazi wa watoto huko wanajua zaidi kulea. Hata huko Oysterbay ulikosema siyo kweli kwamba wazazi wanajua zaidi kulea watoto bali ni uwezo wa wazazi kukidhi malengo ya watoto wao. Huko ''uswazi'' maisha yako rough kwa sababu ya kipato. Mtoto wa Masaki akimaliza darasa la saba anapelekwa shule, uswazi wazazi hawana namna, watoto wanalundika mitaani bila ajira wala kipato huku njaa inawaadhibu. Wataacha kuwa panya road? Hawana cha kupoteza.

Sasa Kukidhi nahitaji ya watoto si ndio Malezi Bora?
Au wewe malezi Bora unayaeleza Kwa namna ipi?

Kushindwa kumhudumia mtoto ndio malezi duni yenyewe hayo Mkuu.

Biblia inasemaje?

1 Timotheo 5:8
Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.
 
Lakini wananchi wakipindi hicho angalau walitoa kipigo kwa baadhi yao lakini wasasa hawakumkamata hata mmoja!
Sasa kwa kuwa wananchi hawakumkamata basi SSH ndio chanzo ? Maana mtoa Uzi anasema wamesababishwa na SSH ...ifike mahala wa Tz tuache ulimbukeni
 
Sasa Kukidhi nahitaji ya watoto si ndio Malezi Bora?
Au wewe malezi Bora unayaeleza Kwa namna ipi?

Kushindwa kumhudumia mtoto ndio malezi duni yenyewe hayo Mkuu.

Biblia inasemaje?

1 Timotheo 5:8
Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.
Ndiyo maana nikasema wewe unaangalia matawi ya tatizo ni soyo mizizi. Endelea kujiburudisha na mental masterbation!
 
Hao polisi wakianza kuchinja Vichwa vyao hao panya road tusije tukaanza kulia humu.
 
Sasa kwa kuwa wananchi hawakumkamata basi SSH ndio chanzo ? Maana mtoa Uzi anasema wamesababishwa na SSH ...ifike mahala wa Tz tuache ulimbukeni
Wapi nimesema
 
Hapana kazi ni lazima, ukichangia watalipwa hao vijana wa ulinzi shirikishi watakao kuwa wanalinda
Ikitokea nimeibiwa mali zangu hao ninaowalipa kulinda ,watanilipa fidia?? ,

Basi kama ni hivyo huku mitaani tuwape makampuni ya ulinzi walinde mitaa yetu ( na gharama inaweza kuwa ndogo kuliko za hawa wajumbe na wenye viti wa chama wanaopanga bei kubwa kubwa , maana wana bima , ukiibiwa watalipa fidia
 
Polisi PGO tu inawashinda seuze Panya road.
 
Back
Top Bottom