Hii issue inatakiwa kutolewa statement na jeshi.
Watu wametoa mpaka jina, namba ya simu, viongozi wa mtu jeshini alivyokuwepo. Ingawa kuna mtu alifukuzwa jeshini, tunahitaji statement kamili kutoka jeshini.
Sehemu moja imekaa kingonongono sana,Hahahahaha katika sehemu siwezi kukaa sinza ,na mtu anayekaa sinza hata mm simuamini
Hapana wasifanywe hivyo,tuboreshe malezi katika ngazi ya familia,watu waheshimu wake za watu,na wake za watu wajiheshimu,vijana wawe na spirit ya kufanya kazi kwa kujituma,wasipende miteremko.Ila alicho fanya yeye kutembea na Mume wa mtu ndio halali au sio 🤣🤣 mabinti wa dizaini io io ndio adhabu yao inayo wafaa kwasababu ndio kitu wakipendacho.
Wewe naye, aliyewatuma kwanza ameweka maisha yake rehani kwa kufanya ujinga wa kiwango kikubwa. Hawa vijana na bangi zao wanaweza kubaka hadi aliowatuma na kumuua wakidhani wanapoteza ushahidi. Unapofanya jambo unatakiwa ufikiri mara mbili.Ila alicho fanya yeye kutembea na Mume wa mtu ndio halali au sio 🤣🤣 mabinti wa dizaini io io ndio adhabu yao inayo wafaa kwasababu ndio kitu wakipendacho.
HakikaWewe naye, aliyewatuma kwanza ameweka maisha yake rehani kwa kufanya ujinga wa kiwango kikubwa. Hawa vijana na bangi zao wanaweza kubaka hadi aliowatuma na kumuua wakidhani wanapoteza ushahidi. Unapofanya jambo unatakiwa ufikiri mara mbili.
Na mimi naweza kukufuata chemba mkuu sana?Njoo chemba
Maana natak kuifuta sasa
Ova
mrangi nirushie hicho video private.......wacha nikufate chamberSehemu moja imekaa kingonongono sana,
Ova
Bangi ni kosa lingine linaongezeka hapoAise hao hawatakiwi kulindwa
Inaonekana waliandaliwa wakapewa pombe+bangi wakalanduka,wakafanya tukio
Ova
Wekeni picha za watuhumiwa tuwatie pingu.
tatizo kubwa ni elimu kwenye majeshi yetu mkuu.
Jeshi letu ni moja ya taasisi yenye watu vilaza kuanzia juu kabisa kwa huyo jenerali wao mpaka huko chini!Hii issue inatakiwa kutolewa statement na jeshi.
Watu wametoa mpaka jina, namba ya simu, viongozi wa mtu jeshini alivyokuwepo. Ingawa kuna mtu alifukuzwa jeshini, tunahitaji statement kamili kutoka jeshini.
Halafu huyo dada aliyebakwa atabaki na huyo mume uraianiNi ujinga wa kiwango cha lami. Badala kubdeal na mume unaenda ku deal na mwanamke mwanzako. Kazi hana, mume atamkosa na jela inamhusu. Wakati mwingine sijui watu wanafikiria kwa kutumia nini.
SanaSehemu moja imekaa kingonongono sana,
Ova
Wewe demu wako huwa anafikaje gheto kwako?...hebu fikiria, hapo mmoja wapo anaweza kumdanganya mwanamke na vingi akakubali kuingia gheto kufika gheto anakutana nao wengi then?anefikaj hapo ndani ?
Duuh kumbe ni askari wa JWTZ aibu kubwa kwa jeshi letu.
Ni washamba na makatili sana wale jamaa. Halafu wanarekodi kama wanacheza wale ma-porn star. Ilikuwa kwa Mange.Mimi sijajisumbua kuitafuta cz najua sitoweza kuvumilia