Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Usiwaamini sana wanaposema tunaomba ushirikiano wako maana unaweza kujikuta matata ni bila kutegemea
 
Soma uelewe na soma maswali na ujijibu vyema . Sipo hapa kuhalalisha mamlaka ziruhusu video iendelee kusambazwa ila swali lipo wale ambao hawa wajui watajuaje wa husika ndo hawa ili wasaidie kutoa ushirikiano wa haraka hao jamaa watiwe nguvuni
 

Ni kweli kabisa, ni ujinga ku deal na side chick, tatizo tunadhani ukishafunga ndoa una hati miliki ya mtu. Unakomaa na mahusiano ambayo unaona kabisa hakuna upendo matokeo yake ndio unafanya ujinga kama wa huyo mwanamke.
Cheating haitakaa iishe maana ilikuwepo toka dunia iubwe.
 
Nafikiria tu jinsi ambavyo wazo la mtu mmoja linavoenda kuwaponza watu wengi ndo maana in lazima kujiepusha kuwa na marafiki wasiofaa maishani mwetu,

Kati ya wale watano kuna mmoja alipewa taarifa na akaamua kuwashirikisha rafiki zake kwa sasa wapo katika majuto makubwa mno.
 
Nao watabakwa wakiwa magerezani😡
 
Mkuu si useme hujaiona video unataka kutumiwa😁😁😁
Ila wahuni si washajulikana na mpaka aliyetoa kazi tumeshamjuaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…