Njoo hapa gereza la Isanga Dodoma au nenda Uyui tabora ukashuhidie watu wanavyoliwa vichwa.danganyweni tu huko mitaani. Hangaya mwenyewe toka aingie keshalamba wengi tu muone na ushungi wake ule umchukulie poa.Unafuuu gani, wote wanakula kifungo cha maisha. Siku hizi watu hata hawanyongwi ni hukumu tu na hakuna utelelezaji. Wote wanapitia maumivu yako palepale
.
Jeshi lina vilaza vilevile kama taasisi nyinginezo. Hawahawa vijana wavuta bangi ndio wanaenda uko, kwa asili kama mtu ni kilaza hata umpe mafunzo namna gani anabaki kilaza. Sasa Captain anawaambia wajirekodi wachukue ushahidi, anawaagiza kabisa ina maana akili zake fupi hazing'amui kwamba hilo ni kosa kisheria na kuna hatari ya hilo tukio kujulikana na kuwa viral.😄😄😄😄😄,kinachonisumbua akili mpaka sasa,ni huyu capt mzima kulizwa na mapenzi mpaka akili zikasimama.ingawa mahakamani anaweza wanawa hawa watoto vyema kabisa,kwamba nao wana akili,sikuwashinikiza kufanya waliyofanya.
Lakini pia huwa napenda kusema,utakuwa mpumbavu wa kiwango kikubwa kukubali kwamba taasisi zote nchini zina uvundo ila sio jeshi letu la ulinzi😄😄.
Masawali mengi kuliko majibuJeshi lina vilaza vilevile kama taasisi nyinginezo. Hawahawa vijana wavuta bangi ndio wanaenda uko, kwa asili kama mtu ni kilaza hata umpe mafunzo namna gani anabaki kilaza. Sasa Captain anawaambia wajirekodi wachukue ushahidi, anawaagiza kabisa ina maana akili zake fupi hazing'amui kwamba hilo ni kosa kisheria na kuna hatari ya hilo tukio kujulikana na kuwa viral.
Hapo huyo ni kapteni, je hawa walioagizwa. Huyo mtu aliwezaje kuwa Captain kwa akili maandazi kama hizi. Ni kina nani walimpitisha awe cheo hicho.
Jeshi lina vilaza vilevile kama taasisi nyinginezo. Hawahawa vijana wavuta bangi ndio wanaenda uko, kwa asili kama mtu ni kilaza hata umpe mafunzo namna gani anabaki kilaza. Sasa Captain anawaambia wajirekodi wachukue ushahidi, anawaagiza kabisa ina maana akili zake fupi hazing'amui kwamba hilo ni kosa kisheria na kuna hatari ya hilo tukio kujulikana na kuwa viral.
Hapo huyo ni kapteni, je hawa walioagizwa. Huyo mtu aliwezaje kuwa Captain kwa akili maandazi kama hizi. Ni kina nani walimpitisha awe cheo hicho.
Labda ulikuwa ni ushahidi kwa aliyewatuma kuwa wamemaliza kazi!Ila wale jamaa sijui wa wapi yaani unabaka huku unajirekodi then unatuma kwa watu ni kwamba nchi hii ya baba ako umeishika🚮🚮
Mwananchi mwenye taarifa na wa kuanza nae ni huyo mhanga wa tukio.Jeshi la Polisi limesema limeona taarifa na clip kwenye mitandao ya Kijamii ya Mwanamke anayebakwa na Wanaume Watatu kwa wakati mmoja
Jeshi la Polisi limesema linafuatilia tukio hilo la kinyama na kuwataka Wananchi wenye taarifa za kufanikisha Watu hawa Kukamatwa mara Moja waziwasilishe polisi
Taarifa imetolewa na DCP Msiime
Msemaji wa Polisi
Pia soma
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
View attachment 3061184
Jeshi macaptain wengi vichwa hamna kitu ...wanajeshi wapo wapo tuJeshi lina vilaza vilevile kama taasisi nyinginezo. Hawahawa vijana wavuta bangi ndio wanaenda uko, kwa asili kama mtu ni kilaza hata umpe mafunzo namna gani anabaki kilaza. Sasa Captain anawaambia wajirekodi wachukue ushahidi, anawaagiza kabisa ina maana akili zake fupi hazing'amui kwamba hilo ni kosa kisheria na kuna hatari ya hilo tukio kujulikana na kuwa viral.
Hapo huyo ni kapteni, je hawa walioagizwa. Huyo mtu aliwezaje kuwa Captain kwa akili maandazi kama hizi. Ni kina nani walimpitisha awe cheo hicho.
Lengo ni kuwaficha hao wabakaji na kuwalinda wasijulikane ccm ni 💩Kama umeiona video usiisambaze ili na wengine waone.
Wewe ulieona utalisaidia jeshi la polisi iwapo utawatambua wahusika.
Kusambaza ni kosa, hata mimi siafiki usambazaji wa hiyo video ni kuzidi kumdhalilisha huyo binti.
Sidhani kama kwa ishu ilipofika ati polisi hawana clue yoyote, sio kweli.
Huko kote ulikotaja Ndio Sodoma na GomolaHayo ni yamerekodiwa ,lakini yanayotokea ambayo hauyaoni ni hatari...
Ulishawahi kusikia BUNYERO BUNYERO ,kanga Moko ,Laki si pesa? Ushapita sehemu wanaoijiuza wanawake? ushawahi kupita kwenye "MASAJI" centre ,mandanguro ,na salon hizi za kunyoa buku 15?